Muharango
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,663
- 1,033
Tazama mtu yule akajibu kwa lugha isiyoeleweka na tena haikuwa rasmi kwake ni lugha ya Watumwa basi wakashindwa kuelewana na Kikao kikaamua kupitisha Sheria ile ya "Historia ya jana haiwezi kubadili historia ya kesho" Waerevu 10: 2-4The lovers of romance can go elsewhere for satisfaction but where can the lovers of truth turn if not to history? ~Katharine Anthony