katika jukwaa hili la vijana wa sasa nakumbuka nilikua mmoja wa watu waliosain memorandum off understanding ya kujitoa tahihiliso baada ya udom kujikuta wanatumika na sasa mpaka raisi kipra yeye anairudisha pasipokujua sisi tuliitwa wahuni na magembe leo anawapeleka wapi vijana wa kitanzania.na baada ya hapo nini kinaendelea na je ni halali na haki yake yeye kuvuliwa napenda kuunga mkono hao wengine walikataa sasa kwa nini awe hivyo jamani