Mwendabure JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,138 1,040 Dec 4, 2013 #2 wamekonda... hawa hata panya hawakamati. lol!
The Monk Platinum Member Oct 12, 2012 19,250 42,864 Dec 4, 2013 #3 Njaa mbaya sana mkuu englibertm Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
The Monk Platinum Member Oct 12, 2012 19,250 42,864 Dec 4, 2013 #4 Mwendabure said: wamekonda... hawa hata panya hawakamati. lol! Click to expand... Dah! utafikiri wanakata roho?
Mwendabure said: wamekonda... hawa hata panya hawakamati. lol! Click to expand... Dah! utafikiri wanakata roho?
N Nasolwa JF-Expert Member Jun 12, 2008 1,827 297 Dec 5, 2013 #7 Hawa wamepigika na njaa hivyo wanatafuta kila njia ikiwemu ya kujilengesha na magari ili wafe.
bysange JF-Expert Member Jan 11, 2011 4,456 1,563 Dec 5, 2013 #8 Walivyo na njaa watakamata hako kamkono kahuyo anaye waphoto,oooh...