Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,228
- 113,575
Miaka mitano inakaribia kukatika sasa tokea serikali hii ya Rais Magufuli iingie madarakani.
Lakini tokea iingie madarakani, sijaona, kuanzia Rais mwenyewe hadi hao wateule wake, wakifanya mikutano na waandishi wa habari, hususan waandishi wa habari wa vyombo vya kimataifa.
Kuna wakati fulani hivi Rais Magufuli alikuwa na Rais Museveni, wakaulizwa maswali mawili matatu hivi. Hiyo nayo inahesabika kama mkutano na waandishi wa habari?
Sasa nimewaza hapa nilipo. Hivi ni nani kwenye serikali hii ya Magufuli mwenye uwezo wa kufanya mkutano na waandishi wa habari wa kimataifa, iwe kwa lugha ya Kiingereza au Kiswahili?
Nimeangaza wee, lakini sijaona. Kuanzia Rais mwenyewe hadi kwa Gavana wa Dar es Salaam, naona wote hawana umahiri wa kufanya hivyo.
Nani kwenye hii serikali mnadhani anao uwezo huo?
Kwenye hii video hapa chini, Rais Julius Nyerere alikuwa New Delhi na akafanya mkutano na waandishi wa habari kwa kujiamini kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini tokea iingie madarakani, sijaona, kuanzia Rais mwenyewe hadi hao wateule wake, wakifanya mikutano na waandishi wa habari, hususan waandishi wa habari wa vyombo vya kimataifa.
Kuna wakati fulani hivi Rais Magufuli alikuwa na Rais Museveni, wakaulizwa maswali mawili matatu hivi. Hiyo nayo inahesabika kama mkutano na waandishi wa habari?
Sasa nimewaza hapa nilipo. Hivi ni nani kwenye serikali hii ya Magufuli mwenye uwezo wa kufanya mkutano na waandishi wa habari wa kimataifa, iwe kwa lugha ya Kiingereza au Kiswahili?
Nimeangaza wee, lakini sijaona. Kuanzia Rais mwenyewe hadi kwa Gavana wa Dar es Salaam, naona wote hawana umahiri wa kufanya hivyo.
Nani kwenye hii serikali mnadhani anao uwezo huo?
Kwenye hii video hapa chini, Rais Julius Nyerere alikuwa New Delhi na akafanya mkutano na waandishi wa habari kwa kujiamini kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app