Nani kati ya Vijana wa kitanzania wa kuanzia 1970?

Asha Abdala

JF-Expert Member
Mar 21, 2007
1,130
44
Najua JK hatapita kura za maoni 2010.Inaonekana wazi, mwaka 2010 Rais wa nchi atakuwa kati ya hawa wafuatao: Freeman Mbowe, John Magufuli, Mark Mwandosya, Bernard Membe ama Asha Rose Migiro. Na yoyote kati yao akishinda ni wazi ataendelea mpaka 2015.

Swali langu: Nani kati ya vijana hawa kuwa Rais mwaka 2020? Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, Ridhwan Kikwete, Dr. Hussein Mwinyi, John Mnyika, Mwanakijiji nk. Ni wazi Rais wa wakati huo atakuwa amezaliwa kati ya 1970 na 1980, ama chini kidogo ya hapo.
 
You are greatly mistaken.Sadly Kikwete, saving the hand of god or the proverbial "peeing in his pants" will continue the CCM tradition of serving 2 terms.

Who is going to stop him? How? I will be more than glad to see a plan.And do not fantasize kwamba atajiachia madaraka mwenyewe, ukubwa mtamu bwana kila anapoenda watu wanampapatikia si kina Andrew Young na Sinclair mpaka waswahili wa Chalinze.

Weeeeee!
 
Najua JK hatapita kura za maoni 2010.Inaonekana wazi, mwaka 2010 Rais wa nchi atakuwa kati ya hawa wafuatao: Freeman Mbowe, John Magufuli, Mark Mwandosya, Bernard Membe ama Asha Rose Migiro. Na yoyote kati yao akishinda ni wazi ataendelea mpaka 2015.

Swali langu: Nani kati ya vijana hawa kuwa Rais mwaka 2020? Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, Ridhwan Kikwete, Dr. Hussein Mwinyi, John Mnyika, Mwanakijiji nk. Ni wazi Rais wa wakati huo atakuwa amezaliwa kati ya 1970 na 1980, ama chini kidogo ya hapo.

Hold up...wait a minute...Mwanakijiji...a '70s baby? No way..
 
Najua JK hatapita kura za maoni 2010.Inaonekana wazi, mwaka 2010 Rais wa nchi atakuwa kati ya hawa wafuatao: Freeman Mbowe, John Magufuli, Mark Mwandosya, Bernard Membe ama Asha Rose Migiro. Na yoyote kati yao akishinda ni wazi ataendelea mpaka 2015.

Swali langu: Nani kati ya vijana hawa kuwa Rais mwaka 2020? Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, Ridhwan Kikwete, Dr. Hussein Mwinyi, John Mnyika, Mwanakijiji nk. Ni wazi Rais wa wakati huo atakuwa amezaliwa kati ya 1970 na 1980, ama chini kidogo ya hapo.


Yamekuwa hayo tena! Hapa, No comment. Tukutane kule FOCUS 2010

JJ
 
Najua JK hatapita kura za maoni 2010.Inaonekana wazi, mwaka 2010 Rais wa nchi atakuwa kati ya hawa wafuatao: Freeman Mbowe, John Magufuli, Mark Mwandosya, Bernard Membe ama Asha Rose Migiro. Na yoyote kati yao akishinda ni wazi ataendelea mpaka 2015.

Swali langu: Nani kati ya vijana hawa kuwa Rais mwaka 2020? Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, Ridhwan Kikwete, Dr. Hussein Mwinyi, John Mnyika, Mwanakijiji nk. Ni wazi Rais wa wakati huo atakuwa amezaliwa kati ya 1970 na 1980, ama chini kidogo ya hapo.

Hapo hesabuni 2015 ndio tunapata rais mpya; halafu anayefuatia ni 2025. Hata hivyo, uwezekano mkubwa sana CCM bado watachukua 2015. Upinzani ukifanya vizuri basi zamu yao kwa uhakika itakuwa ni 2025. Wakikosa hapo ni hadi 2035!! Na hapo sasa kina Madilu, MKJJ, Lipumba, Mrema, hata Mbowe watakuwa wameshaondoka duniani au ni wazee wa kutolewa nje kuota jua na kurudishwa ndani! (Kidding)
 
Kwanini mnawapigia hesabu akina Mnyika,Kabwe na Ridhwani ilihali watu ata wakiwa wazee hawataki kuacha madaraka.Kibaki mzee lakini anataka rudi tena madarakani,sikuambii akina Ngunge na Mugabe.
 
Najua JK hatapita kura za maoni 2010.Inaonekana wazi, mwaka 2010 Rais wa nchi atakuwa kati ya hawa wafuatao: Freeman Mbowe, John Magufuli, Mark Mwandosya, Bernard Membe ama Asha Rose Migiro. Na yoyote kati yao akishinda ni wazi ataendelea mpaka 2015.

Swali langu: Nani kati ya vijana hawa kuwa Rais mwaka 2020? Zitto Kabwe, Kitila Mkumbo, Ridhwan Kikwete, Dr. Hussein Mwinyi, John Mnyika, Mwanakijiji nk. Ni wazi Rais wa wakati huo atakuwa amezaliwa kati ya 1970 na 1980, ama chini kidogo ya hapo.

Aisee naona ulikosea utabiri wako wa 2010, tusubiri utabiri wako wa 2020

Huyo Mwnakijiji ni huyu Mzee Mwanakijiji wa JF?
 
Back
Top Bottom