Nani kati ya mwanamme na mwanamke amekuwa sababisho la maisha kuharibika(kiuchumi, kimahusiano,kijamii na kiroho).

howardlite

JF-Expert Member
Jul 16, 2016
234
368
Kabla hatujaenda deep, Ninaamini juu ya the power of knowledge(maarifa) yanavyoweza kumbadilisha mtu na kuwa wa tofauti kabisa. Ivi tunajua na kuamini mada na michango ya watu Jamii forum ina nguvu ya kuweza kubadilisha maisha ya watu wengine? Kama ndio hata kwenye mada zenye mitazamo ya aina hii kuna watu wanabadilika na kuwa watu wazuri believe me.

Theoretically kila kitu katika maisha kinachoweza kuonekana kina chanzo chake(source) kinaweza kuwa kizuri au kibaya pia.
Vitu vingi na mambo mengi yameharibika katika maisha kwenye nyanja zote za maisha ya mwanamke au mwanamme kiuchumi,kimahusiano,kijamii na kiroho kwa kutokujua chanzo ni nani au ni nini. By nature kama uko sawa kama mwanadamu ukijua umekosea you regret(unajutia na kunatafuta kutokosea tena) vinginevyo inawezekana hauko sawa.

Naomba tusaidiane kujua nani ni chanzo cha matatizo na je Akibadilika anaweza kusaidia hata kupunguza basi ukubwa wa tatizo? References zitakuwa muhimu zaidi na lengo ni kujenga na sio kuharibu.
 
Mungu aliumba mwanaume na mwanamke.....na "Wakaitawale Dunia" ni mimi na wewe, katika ubaya na uzuri....wote tukiwa na hekima na busara yatakwenda vema. Hakuna haja ya kulaumiana....jiandalie wewe kama wewe unataka ufanye nini kabla hujataka kufanyiwa....
 
Duuhhh kwasababu ni hoja ilopanuka saaana , niseme wote mwanamke na mwanamme wanahusika ktk kuleta uharibifu.

Kwann wote?? Wote sababu kila mmoja amepewa Ubongo ambao ni either Ubebe Akili au Ubebe Ujinga.

Ikitokea bongo ya mtu imebeba Ujinga basi Maisha yataharibika tu.

PAKUKAZIA!!
Siku mwanaume na mwanamke wakiacha Ujinga. hapatakuapo na uharibifu.
 
Back
Top Bottom