Pyepye shola
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 296
- 26
John mnyika
Upuuzi mtupu! Mawaziri unawapima kama wabunge kivipi?
Atakayechukua tuzo awamu ya nne ni Mh. Livingstone Lusinde (Mtera-CCM), kwani aliweza kumwaga sera za chama chake kwa umahiri mkubwa katika muda wa robo saa tu.