Nani kati ya hawa kazaa nje ya ndoa ?

Nndu wa Selote

JF-Expert Member
Jun 21, 2012
733
520
Ni jamaa zangu wa karibu. Mmoja ni X na mwingine Y. Wote wana watoto na wote wameoa. X ana mtoto ambaye kamzaa NJE YA NDOA miaka mitano baada ya kuoa wakati Y ana mtoto ambaye alimzaa miaka mitano kabla ya kuoa. Tatizo ni kwamba Y anaona yuko sahihi kwa vile alizaa kabla ya kuoa na anamlaumu sana X kuwa ni mkosaji kwa kuzaa nje ya ndoa. Imekaaje hiyo wadau?
 
Ni jamaa zangu wa karibu. Mmoja ni X na mwingine Y. Wote wana watoto na wote wameoa. X ana mtoto ambaye kamzaa NJE YA NDOA miaka mitano baada ya kuoa wakati Y ana mtoto ambaye alimzaa miaka mitano kabla ya kuoa. Tatizo ni kwamba Y anaona yuko sahihi kwa vile alizaa kabla ya kuoa na anamlaumu sana X kuwa ni mkosaji kwa kuzaa nje ya ndoa. Imekaaje hiyo wadau?

Kulaumiana kwao kuna effect yoyote katika maisha yako.....
wote wana makosa
 
Ni jamaa zangu wa karibu. Mmoja ni X na mwingine Y. Wote wana watoto na wote wameoa. X ana mtoto ambaye kamzaa NJE YA NDOA miaka mitano baada ya kuoa wakati Y ana mtoto ambaye alimzaa miaka mitano kabla ya kuoa. Tatizo ni kwamba Y anaona yuko sahihi kwa vile alizaa kabla ya kuoa na anamlaumu sana X kuwa ni mkosaji kwa kuzaa nje ya ndoa. Imekaaje hiyo wadau?

When the eggs fall on the stone or stone fall on the eggs the end result is the same
 
Back
Top Bottom