COMPLICATOR2011
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 253
- 35
Asante sana Mungu wetu umesikia kilio cha watz, wakati leo tukiadhimisha kumbukumbu ya mwl. Nyerere na tukiendelea na maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wazee mbalimbali wamejitokeza hadharani na kuonyesha dhahili kwamba sasa CCM ilipofikia basi ni zigo lisilobebeka. Kumbuka maneno ya warioba, butiku na sasa msikilize Kingunge TBC1 live, utakiri kwamba hawa wazee wamenyosha mikono. Kingunge anasema huwezi kuendelea kuwa na sera za miaka ya 45 hlf utegemee kuungwa mkono na watu waliozaliwa miaka ya 60-90's.