LOCAL SPONSOR
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 385
- 695
Rushwa haiwezi kwisha, juzi kuna daktari aligoma kutujazia kibali cha mazishi kwenye mojawapo ya hospital kubwa tu ya serikali hapa arusha na alikuwa anasema waziwazi kama hatutaki kumpa chochote hatajaza, ilibidi tumpe atakacho ndio akajaza na tukaruhusiwa kuchukua maiti, tumezika jana tanga
sent from my Sony Xperia using jamii forums mobile app
sent from my Sony Xperia using jamii forums mobile app