Nani kasema Rushwa imeipungua Tanzania? tusidanganyane.

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Nashangaa sana kwa wale wanaodai eti rushwa imekomeshwa Tanzania. Hususani kwenye idara za serikali,UHAMIAJI,NIDA na POLISI waanapokea rushwa wazi wazi ,kilichopo ni hofu tu kwa wafanyakazi wa umma na sio kwamba Rushwa imeisha au imepungua.

Kwa ujumla bado kuna tatizo kubwa sana kwenye idara nyingi za wizara ya mambo ya ndani. Kuna watu wanalalamika pake NIDA makao makuu kama vitambulisho vyako vina matatizo ukipitia mgongo wa nyuma mambo yanakwenda sawa, ila kama mfuko wako umetoboka basi utakaa foleni na kusugua miguu mpaka basi, Uhamiaji kule mambo yale yale passport yako au Viza ina shida kupitia mgongo wa nyuma ni fasta tuu, polisi barabarani kama mtu hana ile faini ya 30,000/= basi anatoa hata 10,000 isyoandikiwa kokote mambo yanasonga.


Utaratibu wa siku hizi ni mazungumzo tuu ndio wazi wazi lakini malipo ni M-PESA au Tigo pesa maisha yanaendelea.Kinachofanyika ni kupeana namba za simu kwa wahusika wawili wakati wa process basi baadae mambo yanasonga.

Rushwa ni ngumu sana, hakuna anayeweza kuisimamia ikaisha kabisa. Na hivi sasahivi watumishi wa umma nyongeza za mishahara hakuna, tutaona zaidi ya tulikotoka.
 
Ukweli rushwa ipo sana sana sana.Kwa awam hii nimepita taasisi 2 nazo ni Mahakamani na Polisi,sijui wametumia means gani kusema hakuna rushwa

May Allah bless Me and You
 
pale w/mambo ya ndani wanavizia CCCAM ikizunguka tu kosa kapokea waje kubisha
 
polisi barabarani kama mtu hana ile faini ya 30,000/= basi anatoa hata 10,000 isyoandikiwa kokote mambo yanasonga.



Ili kukomesha hii rushwa ya barabarani serikali ingeweka utaratibu wa kupokea fine kwa installments kwa baadhi ya makosa, kwa mfano gari ime crack kioo au imekwajika rangi nk
 
......Uhamiaji kule mambo yale yale passport yako au Viza ina shida kupitia mgongo wa nyuma ni fasta tuu...... polisi barabarani kama mtu hana ile.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi mambo ni mazuri kila mahali na waandishi wanatakiwa kusema hivyo na wasiseme tofauti.
1. Rushwa imepungua saaana.
2. Hospitali zimejaa dawa, vifaa tiba na wataalam.
3. Shule zimejaa madawati, vitabu, waalimu na hakuna michango kabisa (elimu bureeee)
4. Bei ya sukari ni 1800 (elekezi)
5.
6.
7.
Ukisema tofauti kupimwa mkojo kunakuhusu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi mambo ni mazuri kila mahali na waandishi wanatakiwa kusema hivyo na wasiseme tofauti.
1. Rushwa imepungua saaana.
2. Hospitali zimejaa dawa, vifaa tiba na wataalam.
3. Shule zimejaa madawati, vitabu, waalimu na hakuna michango kabisa (elimu bureeee)
4. Bei ya sukari ni 1800 (elekezi)
5.
6.
7.
Ukisema tofauti kupimwa mkojo kunakuhusu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli bnami naona mkuu
 
Tena sasa hivi ndo kuna rushwa kwa kiwango cha juu sana
Nimeona kwa macho yangu mwenyewe Afisa anapokea sh 5000 ili atoe salary slip ya jamaa fulani yaani too sad na jamaa kwa kuwa alikuwa anahitaji mkopo alitoa bila hiyana.

Yote hii imesababishwa na kila mkuu wa idara kupewa fursa ya kukuadhibu moja kwa moja hata km ni kwa chuki binafsi sasa huo mwanya unatumiwa vizuri kulamba rushwa.

Amini usiamini sasa rushwa ni kubwa kuliko enzi za Jk
 
Tena sasa hivi ndo kuna rushwa kwa kiwango cha juu sana
Nimeona kwa macho yangu mwenyewe Afisa anapokea sh 5000 ili atoe salary slip ya jamaa fulani yaani too sad na jamaa kwa kuwa alikuwa anahitaji mkopo alitoa bila hiyana.

Yote hii imesababishwa na kila mkuu wa idara kupewa fursa ya kukuadhibu moja kwa moja hata km ni kwa chuki binafsi sasa huo mwanya unatumiwa vizuri kulamba rushwa.

Amini usiamini sasa rushwa ni kubwa kuliko enzi za Jk
Nendeni TRA idara ya kodi huko ni balaa, wanakukadiria kodi kubwa ili ufanye nao mazungumzo. Kwa nini kusiwe na kodi inayoendana na biashara husika na kuangalia vigezo na trend ya biashara kwa muda husika
 
Rushwa na ufisadi bdo vimeshamili lakn watawala wanatumia nguv kubwa sana kutuaminisha.
1. Ununuz wa ndege pana ufisadi
2. ujenzi wa uwanja wa ndege chato
3. wabunge kula mgao wa mil kumi bungen na takukuru wakapotezea. Yapo meng xana lakn tunaaminishwa kwamba mtukufu wetu amedhibiti
 
Back
Top Bottom