Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,296
- 33,907
- Thread starter
- #41
Nani kakwambia kwamba CHADEMA hawatafanya uchaguzi wao wa taifa? Nimekuuliza Magufuli alipewa uenyekiti wa CCM baada ya Kikwete kumaliza miaka yake mitano ya uenyekiti?Porojo .Fanyeni uchaguzi wa Mwenyekiti taifa na rudisheni zile shilingi bilioni Moja laki Tisa mlizokwapua