STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,205
Oyah masela! Kwenye huu msimu wa sikukuu ninja wenu nimeanza kuona dalili kwamba kuna washkaji wengi sana watakosa mademu wa kuenjoy nao kwenye maeneo yetu yale ya kujidai,
Ndipo nikaona isiwe kesi, wacha nimwage maujanja kwa washkaji zangu ili Neema za Makinikia tuzifaidi sote.....
Sasa leo nitatoa mbinu moja kati ya nyingi nilizonazo,
Yaani leo tunaanza step ya kwanza kabisa ya kuomba namba ya simu kisha nyinyi wenyewe mtaniambia Sehemu gani penye ugumu kisha mimi nitatoa tekniki zooote ili twende nao sawa....
-
Ishu inakuwa hivi....
Hii ni moja kati ya mbinu kadhaa nilizokuwa nazitumia kupata namba ya demu aliyeingia kwenye target zangu,
Na hii mbinu inahusisha maeneo yote kuanzia kwenye social network hadi kitaani,
Yaani popote pale ukiona demu ameingia kwenye anga zako basi fanya hivi,
1,Kwanza Mpe salamu au anza kwa kumsifia(wanawake wengi wanapenda kusifiwa)
2.Akikujibu salamu yako au kama umemsifia basi atasema 'Ahsante'
3. hahaha Veeery simple kuanzia hapo ndio inafuata hii kitu inayoitwaga kummaliza kisaikolojia,
Namaanisha hapo kidume unatakiwa umuulize swali ambalo litamfunga na hatoweza kujifungua,
Mwambie hivi
''Unaonekana mkarimu sana''
4. Yeye atakuuliza kwanini?
5.Wewe utamjibu ''Nimeona hauna makuu wala haujiskii''
6. Demu atakujibu 'Ahsante'
Baada ya hapo tendo linalofuata ni kumpatia simu na kumwambia ''andika namba yako humu''
au
kama ni demu wa kwenye social network Muandikie namba yako kisha mwambie ''nicheck kwenye hii namba, nasubiria text yako''
-
Labda niseme tu hapo kwa uhakika demu hawezi kuchomoa kwasababu umeshamsifia yeye ni mkarimu na hana makuu,
kwahiyo ile sifa uliyompa imeshamlevya(imemlewesha)
Na kuanzia hapo sasa inabidi uendelee kuitumia hiyohiyo nafasi ya udhaifu wake ili kujimegea kiulaiiini...
Yaani wewe hata ukitaka kumuomba meeting, anza kwanza kumsifia
mfano.
''Cindy unajua sijawahi kujutia kukufahamu, kwasababu wewe ni mkarimu na haumaindi vitu vidogo vidogo''(hapa yeye atasema tu ''Ahsante'')
-Kisha mzee mzima unamwambia ''Kesho mida ya saa ***** nataka tukutane(unataja eneo husika)*****''
-
Yaani kuanzia hapo unakuwa umemaliza kila kitu na hatokuwa na sababu ya kukataa....
NAWATAKIA KAZI NJEMA MANINJA
Ndipo nikaona isiwe kesi, wacha nimwage maujanja kwa washkaji zangu ili Neema za Makinikia tuzifaidi sote.....
Sasa leo nitatoa mbinu moja kati ya nyingi nilizonazo,
Yaani leo tunaanza step ya kwanza kabisa ya kuomba namba ya simu kisha nyinyi wenyewe mtaniambia Sehemu gani penye ugumu kisha mimi nitatoa tekniki zooote ili twende nao sawa....
-
Ishu inakuwa hivi....
Hii ni moja kati ya mbinu kadhaa nilizokuwa nazitumia kupata namba ya demu aliyeingia kwenye target zangu,
Na hii mbinu inahusisha maeneo yote kuanzia kwenye social network hadi kitaani,
Yaani popote pale ukiona demu ameingia kwenye anga zako basi fanya hivi,
1,Kwanza Mpe salamu au anza kwa kumsifia(wanawake wengi wanapenda kusifiwa)
2.Akikujibu salamu yako au kama umemsifia basi atasema 'Ahsante'
3. hahaha Veeery simple kuanzia hapo ndio inafuata hii kitu inayoitwaga kummaliza kisaikolojia,
Namaanisha hapo kidume unatakiwa umuulize swali ambalo litamfunga na hatoweza kujifungua,
Mwambie hivi
''Unaonekana mkarimu sana''
4. Yeye atakuuliza kwanini?
5.Wewe utamjibu ''Nimeona hauna makuu wala haujiskii''
6. Demu atakujibu 'Ahsante'
Baada ya hapo tendo linalofuata ni kumpatia simu na kumwambia ''andika namba yako humu''
au
kama ni demu wa kwenye social network Muandikie namba yako kisha mwambie ''nicheck kwenye hii namba, nasubiria text yako''
-
Labda niseme tu hapo kwa uhakika demu hawezi kuchomoa kwasababu umeshamsifia yeye ni mkarimu na hana makuu,
kwahiyo ile sifa uliyompa imeshamlevya(imemlewesha)
Na kuanzia hapo sasa inabidi uendelee kuitumia hiyohiyo nafasi ya udhaifu wake ili kujimegea kiulaiiini...
Yaani wewe hata ukitaka kumuomba meeting, anza kwanza kumsifia
mfano.
''Cindy unajua sijawahi kujutia kukufahamu, kwasababu wewe ni mkarimu na haumaindi vitu vidogo vidogo''(hapa yeye atasema tu ''Ahsante'')
-Kisha mzee mzima unamwambia ''Kesho mida ya saa ***** nataka tukutane(unataja eneo husika)*****''
-
Yaani kuanzia hapo unakuwa umemaliza kila kitu na hatokuwa na sababu ya kukataa....
NAWATAKIA KAZI NJEMA MANINJA