Nani kasema DR SLAA atagombea urais 2015 kupitia CHADEMA?

Ni kweli kugombea urais ni haki ya kila mwanachama isitoshe hata Dr slaa nadhani afya na umri hata weza tena vinginevyo tutarajie miujiza kuwa na Vikongwe Kama wakina kingunge

Dr age umekwenda sana hata kutembea tabu ila kinywa kiko poa anaweza kusema chochote na kuagiza lolote..

Nadhani tuanze kufikiria Kati ya Hawa MBOWE . TUNDU na AKONAY hapo vipi?

Kijana kumbuka "Ukubwa wa Pua sio wingi wa Kamasi" je hawa vijana ambao tulijua wangetutoa hapa tulipo je wametufanyia nn? Unamuona Jk kafanya nn mpaka sasa anaweza jivunia? ajivunie Ufisadi ama? Tizama Machael Satta ana umri gani na nn anawafanyia Wazambia? Think again
 
Mimi nilivyomuelewa ni kwamba anaona kama Dk Slaa anatajwa sana kama vile ni mtu pekee anaefaa kupeperusha bendera ya CDM wakati CDM ina watu kibao wanaoweza kum replace JK pale Magogoni.Ana maana nzuri,kwa maana ya kwamba wa TZ bado wananafasi kuibua majembe mengine ndani ya CDM na kuyajadili kwa ajili ya 2015.Hongera kijana!
 
Wewe pia unachanganya mambo hakuna hata siku moja nimeona /nimesoma mahali kuwa mgombea wa urais kwa ticket ya CDM 2015 ni Dr. Slaa. Labda ulete ushahidi wa hoyo thread /comment ama andiko/chapisho kuwa Dr. Slaa ameteuliwa kuwa mgombea urais 2015.Watu wanapomzungumzia Dr. Slaa kuwa anafaa kuwa mgombea sio kwamba wanasema am imepitishwa kuwa mgombea .Inamaana EL na Membe ni wagombea kwa ticket ya CCM !? Coz nao wanatajwa kama Dr Slaa.Kwanza nakushangaa unauliza swali halafu unajijibu mwenyewe kwa kutoa maelezo kibao.
Mkuu achana na huyu jamaa mi naona anaweweseka tu sijui nani kamtuma au kaamua kukurupuka pasipo kujitambua anafanya nini
 
Mmh! Kweli JF
ni zaidi ya social netiweki...
Inaelekea wewe ni zaidi ya great thinker kama unaweza ukafanya majumuisho kulingana na imani za watu na ukaandika ulichoandika ni maendeleo . Mimi nimeandika thread/comment/andiko so usizunguke.Nilichotaka kujua ni chanzo na njia ulizotumia mpaka ukaja na thread hii.Kwa sababu umeandika kuwa ni kutokana na imani za watanzania wengi ,ombi langu ni wewe kutujuza hapa jamvini njia na vigezo ulivyotumia kujua imani za watu mpaka ukafanya majumuisho kuwa wanasema Dr. Slaa ndio mgombea mteule kupitia CDM 2015.

Aaah, unataka kunilazimisha niseme kama unavyotaka wewe, hapo siwezi. Najua wewe mwenyewe ni mmoja wa watu wanaoamini kuwa Dr Slaa atakuwa mgombea kupitia CDM. Unataka chanzo kipi wakati wewe mwenyewe ni chanzo. Inamaana hujitambui?
 
mbowe hatakubali dr agombee,ndy maana wanamgogoro wa chini chini.mbowe anataka yeye ili alinde biashara zake.capitalist siku zote huwaza faida tu,tena bepari wa machame ni zaidi,wana kauli yao.WAMETUMWA HELA MJINI.na anajitaidi sana amechukua na NK DODOM

Kama una ugomvi na Kamanda Mbowe kijana mtafute mjadiliane hukohuko na unaonekana una Chuki binafsi na Kamanda je NK inakuhusu nn ww?
 
Tunahitaji kuwajua wagombea mapema zaidi ili kuepuka kuuziwa mbuzi kwenye gunia. .
Kwani rais wenu wa sasa hamkujua zaidi ya miaka 10 kabla ya kuchaguliwa.
Au rangi ya gunia ilikuwa nzuri na kuvutia mkasahau kuchungulia kilichomo?
 
Watanzania tumetanguliza mbele ushabiki wa kisiasa uliokithiri kiasi cha kujisahau na kuanza kujipangia wagombea urais kupitia vyama vya siasa wakati ambapo bado kuna miaka minne mbele. Lazima tukumbuke kuwa, mgombea wa urais kupitia chama chochote ni lazima apatikane baada ya kufanyika vikao mbali mbali vya chama. Hakuna mgombea anayejiweka katika nafasi hiyo kwa amri yake. Si mbaya kama tutatabiri na kusema kuwa, huyu na yule wanafaa, lakini hili si suala la kujipa uhakika wa asilimia mia moja kuwa fulani ndiyo atakuwa mgombea wa chama fulani, si sahihi. Siasa za Tanzania hubadilika kama rangi ya kinyonga. Sikubaliani na wale wanaosema kuwa dr Slaa ndiye atakayekuwa mgombea urais kupitia CDM katika uchaguzi mkuu ujao japo anakubalika na watu lukuki. Siamini kama ndani ya CDM hakuna kiongozi mwingine mwenye sifa za kuwa mgombea zaidi ya Dr Slaa. Wengi wetu ushabiki wa kisiasa umetulevya kiasi cha imani zetu kupita kiwango cha kawaida. Yafaa kuibua mada za nani anafaa kuwa mgombea wa urais, lakini si kusema fulani ndiye atakuwa rais iwe isiwe, hiyo itakuwa si sahihi. Nani ana uhakika kuwa Dr SLAA atakuwa mgombea urais kupitia chama chake mwaka 2015?

wewe sema unamtaka nani ndani ya CDM coz jamaa wote ni vichwa ila kwa magamba ndo wanatafutana!!
 
Slaa+Moshi[1].JPG
 
Mimi nilivyomuelewa ni kwamba anaona kama Dk Slaa anatajwa sana kama vile ni mtu pekee anaefaa kupeperusha bendera ya CDM wakati CDM ina watu kibao wanaoweza kum replace JK pale Magogoni.Ana maana nzuri,kwa maana ya kwamba wa TZ bado wananafasi kuibua majembe mengine ndani ya CDM na kuyajadili kwa ajili ya 2015.Hongera kijana!

Wewe umekwenda mbele zaidi na kuibuka na maana kubwa zaidi ya lengo langu. Kumbe hapa wapo wanaofikiri zaidi na kuingia ndani zaidi ya ndoto. Hongera sana mkuu, japo chatu ni joka la kutisha. Bila shaka wewe ni mwana CDM ambaye ni great thinker halisi.
 
ni kweli kugombea urais ni haki ya kila mwanachama isitoshe hata dr slaa nadhani afya na umri hata weza tena vinginevyo tutarajie miujiza kuwa na vikongwe kama wakina kingunge

dr age umekwenda sana hata kutembea tabu ila kinywa kiko poa anaweza kusema chochote na kuagiza lolote..

Nadhani tuanze kufikiria kati ya hawa mbowe . Tundu na akonay hapo vipi?

acha u-snitch wa kijinga we ka-snitch, nani amezeeka mpaka kutembea shida? 2mia brain next time
 
Wewe pia unachanganya mambo hakuna hata siku moja nimeona /nimesoma mahali kuwa mgombea wa urais kwa ticket ya CDM 2015 ni Dr. Slaa. Labda ulete ushahidi wa hoyo thread /comment ama andiko/chapisho kuwa Dr. Slaa ameteuliwa kuwa mgombea urais 2015.Watu wanapomzungumzia Dr. Slaa kuwa anafaa kuwa mgombea sio kwamba wanasema am imepitishwa kuwa mgombea .Inamaana EL na Membe ni wagombea kwa ticket ya CCM !? Coz nao wanatajwa kama Dr Slaa.Kwanza nakushangaa unauliza swali halafu unajijibu mwenyewe kwa kutoa maelezo kibao.

Nashukuru umemnyooshea huyo jamaa maana TISS naona imeamua kuingia mzigoni.

Hakuna mahala popote pale ilitamkwa Dr. Slaa ndiye mgombea wa CDM au EL, Membe na Sita ni wagombea wa CCM. Kutaka kujua nani anaweza kuwa mrithi wa fulani siyo mbaya na siyo kosa.
 
Watanzania tumetanguliza mbele ushabiki wa kisiasa uliokithiri kiasi cha kujisahau na kuanza kujipangia wagombea urais kupitia vyama vya siasa wakati ambapo bado kuna miaka minne mbele. Lazima tukumbuke kuwa, mgombea wa urais kupitia chama chochote ni lazima apatikane baada ya kufanyika vikao mbali mbali vya chama. Hakuna mgombea anayejiweka katika nafasi hiyo kwa amri yake. Si mbaya kama tutatabiri na kusema kuwa, huyu na yule wanafaa, lakini hili si suala la kujipa uhakika wa asilimia mia moja kuwa fulani ndiyo atakuwa mgombea wa chama fulani, si sahihi. Siasa za Tanzania hubadilika kama rangi ya kinyonga. Sikubaliani na wale wanaosema kuwa dr Slaa ndiye atakayekuwa mgombea urais kupitia CDM katika uchaguzi mkuu ujao japo anakubalika na watu lukuki. Siamini kama ndani ya CDM hakuna kiongozi mwingine mwenye sifa za kuwa mgombea zaidi ya Dr Slaa. Wengi wetu ushabiki wa kisiasa umetulevya kiasi cha imani zetu kupita kiwango cha kawaida. Yafaa kuibua mada za nani anafaa kuwa mgombea wa urais, lakini si kusema fulani ndiye atakuwa rais iwe isiwe, hiyo itakuwa si sahihi. Nani ana uhakika kuwa Dr SLAA atakuwa mgombea urais kupitia chama chake mwaka 2015?

watu wengine bana, yaani umemkamata panya mkia halafu unauliza makalio yake yapo wapi? halafu hiyo heading ya thread yako, kwani wewe umemsikia nani anasema hayo uliyoandika?
 
watanzania tumetanguliza mbele ushabiki wa kisiasa uliokithiri kiasi cha kujisahau na kuanza kujipangia wagombea urais kupitia vyama vya siasa wakati ambapo bado kuna miaka minne mbele. Lazima tukumbuke kuwa, mgombea wa urais kupitia chama chochote ni lazima apatikane baada ya kufanyika vikao mbali mbali vya chama. Hakuna mgombea anayejiweka katika nafasi hiyo kwa amri yake. Si mbaya kama tutatabiri na kusema kuwa, huyu na yule wanafaa, lakini hili si suala la kujipa uhakika wa asilimia mia moja kuwa fulani ndiyo atakuwa mgombea wa chama fulani, si sahihi. Siasa za tanzania hubadilika kama rangi ya kinyonga. Sikubaliani na wale wanaosema kuwa dr slaa ndiye atakayekuwa mgombea urais kupitia cdm katika uchaguzi mkuu ujao japo anakubalika na watu lukuki. Siamini kama ndani ya cdm hakuna kiongozi mwingine mwenye sifa za kuwa mgombea zaidi ya dr slaa. Wengi wetu ushabiki wa kisiasa umetulevya kiasi cha imani zetu kupita kiwango cha kawaida. Yafaa kuibua mada za nani anafaa kuwa mgombea wa urais, lakini si kusema fulani ndiye atakuwa rais iwe isiwe, hiyo itakuwa si sahihi. Nani ana uhakika kuwa dr slaa atakuwa mgombea urais kupitia chama chake mwaka 2015?

si vibaya kutabiri kudhani juu ya mtu atufaae kuwa rais,kuliko kusubiri nec watuchapulie,tatizo lako ww na magamba wenzako mmesha anza kujaa mapovu mapema mno,lowasa ndie hakika wa kumjadili hapa kwani ndie hakika ameonesha dhamira ya kutaka urais kwa gharama yeyote,nahukuweza kuuliza juu ya haya uyaulizayo kwa dr, poleni sana tunajua anawanyima usingizi.
 
Ni kweli kugombea urais ni haki ya kila mwanachama isitoshe hata Dr slaa nadhani afya na umri hata weza tena vinginevyo tutarajie miujiza kuwa na Vikongwe Kama wakina kingunge

Dr age umekwenda sana hata kutembea tabu ila kinywa kiko poa anaweza kusema chochote na kuagiza lolote..

Nadhani tuanze kufikiria Kati ya Hawa MBOWE . TUNDU na AKONAY hapo vipi?

Slaa anaweza kuwazidi mtu kama Mwai Kibaki?[alikuwa lecturer wa B.Mkapa,Makerere]
 
Back
Top Bottom