Nani kampa rais Magufuli uwezo wa kufuta sherehe za muungano bila kushirikisha Zanzibar?

Tume ya Katiba

JF-Expert Member
Apr 6, 2012
4,896
1,862
Najaribu kuwaza kwa upana zaidi, kufuatia tamko lililotolewa na ikulu kuwa Rais Magufuli amefuta sherehe za muungano na kuamuru pesa zitumike kukarabati bara bara ya Airport Mwanza, kuna maswali ya msingi yameibuka.

1) Kwanini amefanya maamuzi yahusuyo "muungano" bila kushirikisha pande zote? yaani serikali ya Tanganyika na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar?

2) Kwa nini pesa zilizochangiwa na nchi mbili huru, zitumiwe na upande mmoja wa muungano?

Ni hayo tu

Tume ya katiba (Mcheza pool table maarufu)
 
Najaribu kuwaza kwa upana zaidi, kufuatia tamko lililotolewa na ikulu kuwa Rais Magufuri amefuta sherehe za muungano na kuamuru pesa zitumike kukarabati bara bara ya Airport Mwanza, kuna maswali ya msingi yameibuka.

1) Kwa nini amefanya maamuzi yahusuyo "muungano" bila kushirikisha pande zote? yaani serikali ya Tanganyika na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar?

2) Kwa nini pesa zilizochangiwa na nchi mbili huru, zitumiwe na upande mmoja wa muungano?

Ni hayo tu

Tume ya katiba (Mcheza pool table maarufu)
Vipi umekosa tenda ya usafi?? Fuata yako hatutaki magwaride yasiyotusaidia kitu tunataka huduma nzuri
 
What's too far? How can you measure too far?

Badala kucheza pool table nenda kwanza shule ili uelimike badala ya kudhani una elimu wakati huna!

Nani amekuambia kuwa sherehe za Muungano zimefutwa?

Umefahamu vipi kuwa Zanzibar haijashirikishwa?

Umefahamu vipi kama pesa za sherehe ya Muungano ambazo zingetumika kwenye gwaride, chakula na vinywaji zimepatikana kutoka pande zote za Muungano?

Wewe unakuja na hisia zako na kuzifanya kuwa ni ukweli!

Tafuta kwanza ukweli ili upate msingi wa kujenga hoja kwa kutumia nguvu za hoja.

Kwa kukusaidia, Rais amepewa madaraka kwa mujibu wa Sheria ya Sikukuu za Kitaifa (The Public Holidays Act, Cap 35) pamoja na Sheria zingine zinazompa mamlaka Rais kutangaza siku yoyote kuwa sikukuu au mapumziko.
 
Najaribu kuwaza kwa upana zaidi, kufuatia tamko lililotolewa na ikulu kuwa Rais Magufuri amefuta sherehe za muungano na kuamuru pesa zitumike kukarabati bara bara ya Airport Mwanza, kuna maswali ya msingi yameibuka.

1) Kwa nini amefanya maamuzi yahusuyo "muungano" bila kushirikisha pande zote? yaani serikali ya Tanganyika na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar?

2) Kwa nini pesa zilizochangiwa na nchi mbili huru, zitumiwe na upande mmoja wa muungano?

Ni hayo tu

Tume ya katiba (Mcheza pool table maarufu)

Na akili yako yooote inakutuma kuwa nchi hii ina serikali mbili?
 
Hatutaki sherehe za kitaifa zozote, tumesherekea zaidi ya miaka 50, huu ni muda wa kufanya maendeleo semina, hafla, warsha, pongezi, sherehe za kitaifa na mwenge pesa zake zielekezwe kwenye maendeleo.

Hili ni jambo la muungano, lazima pande zote zikubaliane katika maamuzi. Haiwezekani nchi iendeshwe kutoka chato
 
Wee ndio Zanzibar mpaka useme haujashirikishwa?? Msiwe vichwa maji hivyo kukurupuka na lolote unaloota kuleta hapa.
 
Najaribu kuwaza kwa upana zaidi, kufuatia tamko lililotolewa na ikulu kuwa Rais Magufuri amefuta sherehe za muungano na kuamuru pesa zitumike kukarabati bara bara ya Airport Mwanza, kuna maswali ya msingi yameibuka.

1) Kwa nini amefanya maamuzi yahusuyo "muungano" bila kushirikisha pande zote? yaani serikali ya Tanganyika na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar?

2) Kwa nini pesa zilizochangiwa na nchi mbili huru, zitumiwe na upande mmoja wa muungano?

Ni hayo tu

Tume ya katiba (Mcheza pool table maarufu)
jibu,lile ni koloni letu halina uwezo wa kupinga maamuzi yetu.
 
Hili ni jambo la muungano, lazima pande zote zikubaliane katika maamuzi. Haiwezekani nchi iendeshwe kutoka chato
Akili za hovyo sana hizi, yaani kisa magufuli yupo chato basi hajawashirikisha viongozi wa zanzibar! Mma safari ndefu sana.
Una ushahidi gani kuwa haya ni maamuzi yaliyofanywa wiki hii na sio mwezi wa kwanza?? Tuliza kalio, acha kukurupuka kama umemwagiwa maji ukiwa usingizini.
 
Ndio maana Tanganyika hawako tayari kuiachia Znz wanahofia kuulizwa maswali kama hayo CCM kuendelea kutawala kimabavu Znz ni kinga kwa Tanganyika
 
Back
Top Bottom