ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 642
Jana kupitia chombo kimoja cha habari niliona taarifa yao ya habari ikimuonesha aliyekua Mgombea urais aliyeshindwa ndugu Edward na viongozi wengine wa UKAWA kina Mbatia na wengineo wakijadili mustakabali wa Zanzibar. Lakini cha kushangaza ni pale alipokua anazungumza Edward wakaandika kwamba ni kiongozi wa UKAWA.
Mimi ninavyojua kiongozi wa UKAWA kwa maana ya Mwenyekiti ni Freeman Mbowe sasa haya ya Jana ni mapya kuysikia. Kwa Hali hii Mbowe ajiandae kuachia ngazi ya uenyekiti wa CHADEMA katika uchaguzi wao mkuu ujao.
Mimi ninavyojua kiongozi wa UKAWA kwa maana ya Mwenyekiti ni Freeman Mbowe sasa haya ya Jana ni mapya kuysikia. Kwa Hali hii Mbowe ajiandae kuachia ngazi ya uenyekiti wa CHADEMA katika uchaguzi wao mkuu ujao.