Nani kamdanganya huyu mwana wa mfalme? Anatia huruma

Alwaz

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,099
10,795
Watoto wa wafalme mara nyingi hutarajiwa wawe warithi wa kiti cha ufalme mara wazazi wao wanapoodoka madarakani.

Mabebeberu na mazayuni nao kwa kujuwa hilo na ambao ndio wasukaji wa hiyo mifumo ya kifalme, huwa daima wanawanyatia watoto hawa kwa kuwajaza fikra zao.

Na kwa ulimbukeni wa wazazi wao hawa watoto husomeshwa kwenye nchi za kibeberu masomo yasiyo na tija sana na ambayo hayahitaji akili kubwa kuyakariri.

Hawa watoto huwa hawana juhudi za masomo na huwa wanaishi kama wafalme huko vyuoni wanakosoma.

Pamoja na hivyo hata wakifeli hupewa alama za juu ili wapasi kiaina na kurudi makwao.

Hiyo inatokea sana kwa nchi zote zinazotawaliwa kifalme na hasa za kiislamu.

Sina kumbukumbu za kutosha kuhusu mtoto wa mfalme wa Saudia na kama alifanikiwa kiasi gani kimasomo, hata hivyo nina uhakika sana amedanganywa sana kukubali kuondosha nidhamu zote za kiislamu zilizotawala nchi hiyo ambayo ni chimbuko muhimu la Imani ya kiislamu.

Sehemu aliyodannganywa zaidi ni katika kukuza utalii ili kukuza uchumi wa nchi hiyo na kuwacha kutegemea mafuta pekee.

Na aina ya watalii anaowalenga ni wale wanaoingia nchini humo kushuhudia michezo ambayo ni haramu au kuimba na kucheza uchi mambo ambayo yote hayakubaliwi na uislamu.

Hivi ipo nchi duniani inayoweza kuipiku Saudi Arabia kwa kupokea watalii wanaoingia kiibada na ambao wanaridhiwa na Allah. s.w.

Na je hajaona eneo jengine halali la kuwekeza na kukuza uchumi mbali na kukaribisha watu waovu na walevi wa kila aina?
 
Ifikie kipindi kila mtu awe huru kufanya yanayomfurahisha,usiwe na mawazo ya kidikteta dungu.
Watoto wa wafalme mara nyingi hutarajiwa wawe warithi wa kiti cha ufalme mara wazazi wao wanapoodoka madarakani.Mabebeberu na mazayuni nao kwa kujuwa hilo na ambao ndio wasukaji wa hiyo mifumo ya kifalme,huwa daima wanawanyatia watoto hawa kwa kuwajaza fikra zao.Na kwa ulimbukeni wa wazazi wao hawa watoto husomeshwa kwenye nchi za kibeberu masomo yasiyo na tija sana na ambayo hayahitaji akili kubwa kuyakariri.
Hawa watoto huwa hawana juhudi za masomo na huwa wanaishi kama wafalme huko vyuoni wanakosoma.Pamoja na hivyo hata wakifeli hupewa alama za juu ili wapasi kiaina na kurudi makwao.Hiyo inatokea sana kwa nchi zote zinazotawaliwa kifalme na hasa za kiislamu.
Sina kumbukumbu za kutosha kuhusu mtoto wa mfalme wa Saudia na kama alifanikiwa kiasi gani kimasomo,hata hivyo nina uhakika sana amedanganywa sana kukubali kuondosha nidhamu zote za kiislamu zilizotawala nchi hiyo ambayo ni chimbuko muhimu la Imani ya kiislamu.Sehemu aliyodannganywa zaidi ni katika kukuza utalii ili kukuza uchumi wa nchi hiyo na kuwacha kutegemea mafuta pekee.Na aina ya watalii anaowalenga ni wale wanaoingia nchini humo kushuhudia michezo ambayo ni haramu au kuimba na kucheza uchi mambo ambayo yote hayakubaliwi na uislamu.
Hivi ipo nchi duniani inayoweza kuipiku Saudi Arabia kwa kupokea watalii wanaoingia kiibada na ambao wanaridhiwa na Allah. s.w.Na jee hajaona eneo jengine halali la kuwekeza na kukuza uchumi mbali na kukaribisha watu waovu na walevi wa kila aina ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wa wafalme mara nyingi hutarajiwa wawe warithi wa kiti cha ufalme mara wazazi wao wanapoodoka madarakani.

Mabebeberu na mazayuni nao kwa kujuwa hilo na ambao ndio wasukaji wa hiyo mifumo ya kifalme, huwa daima wanawanyatia watoto hawa kwa kuwajaza fikra zao.

Na kwa ulimbukeni wa wazazi wao hawa watoto husomeshwa kwenye nchi za kibeberu masomo yasiyo na tija sana na ambayo hayahitaji akili kubwa kuyakariri.

Hawa watoto huwa hawana juhudi za masomo na huwa wanaishi kama wafalme huko vyuoni wanakosoma.

Pamoja na hivyo hata wakifeli hupewa alama za juu ili wapasi kiaina na kurudi makwao.

Hiyo inatokea sana kwa nchi zote zinazotawaliwa kifalme na hasa za kiislamu.

Sina kumbukumbu za kutosha kuhusu mtoto wa mfalme wa Saudia na kama alifanikiwa kiasi gani kimasomo, hata hivyo nina uhakika sana amedanganywa sana kukubali kuondosha nidhamu zote za kiislamu zilizotawala nchi hiyo ambayo ni chimbuko muhimu la Imani ya kiislamu.

Sehemu aliyodannganywa zaidi ni katika kukuza utalii ili kukuza uchumi wa nchi hiyo na kuwacha kutegemea mafuta pekee.

Na aina ya watalii anaowalenga ni wale wanaoingia nchini humo kushuhudia michezo ambayo ni haramu au kuimba na kucheza uchi mambo ambayo yote hayakubaliwi na uislamu.

Hivi ipo nchi duniani inayoweza kuipiku Saudi Arabia kwa kupokea watalii wanaoingia kiibada na ambao wanaridhiwa na Allah. s.w.

Na je hajaona eneo jengine halali la kuwekeza na kukuza uchumi mbali na kukaribisha watu waovu na walevi wa kila aina?
Huyo dogo namwona kama akili yake haijakomaa, hafu anawasikiliza Wamarekani.
 
Nilijiuliza hili kwenye pambano LA Antony Joshua hili LA marudiano!!
 
Watoto wa wafalme mara nyingi hutarajiwa wawe warithi wa kiti cha ufalme mara wazazi wao wanapoodoka madarakani.

Mabebeberu na mazayuni nao kwa kujuwa hilo na ambao ndio wasukaji wa hiyo mifumo ya kifalme, huwa daima wanawanyatia watoto hawa kwa kuwajaza fikra zao.

Na kwa ulimbukeni wa wazazi wao hawa watoto husomeshwa kwenye nchi za kibeberu masomo yasiyo na tija sana na ambayo hayahitaji akili kubwa kuyakariri.

Hawa watoto huwa hawana juhudi za masomo na huwa wanaishi kama wafalme huko vyuoni wanakosoma.

Pamoja na hivyo hata wakifeli hupewa alama za juu ili wapasi kiaina na kurudi makwao.

Hiyo inatokea sana kwa nchi zote zinazotawaliwa kifalme na hasa za kiislamu.

Sina kumbukumbu za kutosha kuhusu mtoto wa mfalme wa Saudia na kama alifanikiwa kiasi gani kimasomo, hata hivyo nina uhakika sana amedanganywa sana kukubali kuondosha nidhamu zote za kiislamu zilizotawala nchi hiyo ambayo ni chimbuko muhimu la Imani ya kiislamu.

Sehemu aliyodannganywa zaidi ni katika kukuza utalii ili kukuza uchumi wa nchi hiyo na kuwacha kutegemea mafuta pekee.

Na aina ya watalii anaowalenga ni wale wanaoingia nchini humo kushuhudia michezo ambayo ni haramu au kuimba na kucheza uchi mambo ambayo yote hayakubaliwi na uislamu.

Hivi ipo nchi duniani inayoweza kuipiku Saudi Arabia kwa kupokea watalii wanaoingia kiibada na ambao wanaridhiwa na Allah. s.w.

Na je hajaona eneo jengine halali la kuwekeza na kukuza uchumi mbali na kukaribisha watu waovu na walevi wa kila aina?
Ya nchi yenu hapa yanawashinda wenzetu huko wanakuza uchumi

endelea kuunga juhudi
 
Watoto wa wafalme mara nyingi hutarajiwa wawe warithi wa kiti cha ufalme mara wazazi wao wanapoodoka madarakani.

Mabebeberu na mazayuni nao kwa kujuwa hilo na ambao ndio wasukaji wa hiyo mifumo ya kifalme, huwa daima wanawanyatia watoto hawa kwa kuwajaza fikra zao.

Na kwa ulimbukeni wa wazazi wao hawa watoto husomeshwa kwenye nchi za kibeberu masomo yasiyo na tija sana na ambayo hayahitaji akili kubwa kuyakariri.

Hawa watoto huwa hawana juhudi za masomo na huwa wanaishi kama wafalme huko vyuoni wanakosoma.

Pamoja na hivyo hata wakifeli hupewa alama za juu ili wapasi kiaina na kurudi makwao.

Hiyo inatokea sana kwa nchi zote zinazotawaliwa kifalme na hasa za kiislamu.

Sina kumbukumbu za kutosha kuhusu mtoto wa mfalme wa Saudia na kama alifanikiwa kiasi gani kimasomo, hata hivyo nina uhakika sana amedanganywa sana kukubali kuondosha nidhamu zote za kiislamu zilizotawala nchi hiyo ambayo ni chimbuko muhimu la Imani ya kiislamu.

Sehemu aliyodannganywa zaidi ni katika kukuza utalii ili kukuza uchumi wa nchi hiyo na kuwacha kutegemea mafuta pekee.

Na aina ya watalii anaowalenga ni wale wanaoingia nchini humo kushuhudia michezo ambayo ni haramu au kuimba na kucheza uchi mambo ambayo yote hayakubaliwi na uislamu.

Hivi ipo nchi duniani inayoweza kuipiku Saudi Arabia kwa kupokea watalii wanaoingia kiibada na ambao wanaridhiwa na Allah. s.w.

Na je hajaona eneo jengine halali la kuwekeza na kukuza uchumi mbali na kukaribisha watu waovu na walevi wa kila aina?
Tatizo la hii imani ni lile la kuaminisha waumini wake kuwa wanaweza kujenga uwezo wa hawa waumini au vikundi au taasisi au serikali fulani fulani au jumuia za mataifa fulani fulani ili kumpigania huyo mkuu wanayemuamini, sijui ni mungu sijui ni mtume, lakini wanaamini kabisa amewatuma kumpigania na washinde kwa ajili yake huku akiwatazama huko waliko. Kuwa amewapa akili, nyenzo, resources mbalimbali na hizo zinatosha kabisa kufanya vita yao iwe ya ushindi.
Huku ni kupigana vita vya damu na nyama na hivyo kwa sasa sio vita vya Mungu alieumba mbingu na nchi. Hivyo vita alivipiga Mungu mwenyewe wakati akiwafundisha wanadamu kumwamini na kumtumainia yeye mpaka wakati ulipofika wakukamilisha darasa hilo na kuanza lingine. Sasa hivi huyo Muumba anashughulika na mioyo inayomnyenyekea na kukabidhi vita zao kwake naye huwa anafahamu atakavyobadilisha uwanja wa vita uwapendelee hao wamchao. Hawatumii bunduki, panga wala mshale na salama yao na amani yao huiipata kwa Bwana wao.
Unapomlaumu mwana mfalme MBS, unamlaumu mtu asiye na utashi kwanza na nafsi yake mwenyewe kwa sababu inathibitiwa na mwana wa uasi na pili hana jinsi zaidi ya kuenda na sera ya watawala wa dunia hii ambao wako chini ya mwana wa uasi. Hawezi kufanya lolote.
Hivyo basi kuamini kwamba kuna siku watu wa imani hiyo wataibuka na ushindi kwenye vita hiyo ya kidhaifu ni kujindanganya. Wanaotawala dunia hii wataitawala mpaka Masihi atakaporudi
Mark my words.
 
Watoto wa wafalme mara nyingi hutarajiwa wawe warithi wa kiti cha ufalme mara wazazi wao wanapoodoka madarakani.

Mabebeberu na mazayuni nao kwa kujuwa hilo na ambao ndio wasukaji wa hiyo mifumo ya kifalme, huwa daima wanawanyatia watoto hawa kwa kuwajaza fikra zao.

Na kwa ulimbukeni wa wazazi wao hawa watoto husomeshwa kwenye nchi za kibeberu masomo yasiyo na tija sana na ambayo hayahitaji akili kubwa kuyakariri.

Hawa watoto huwa hawana juhudi za masomo na huwa wanaishi kama wafalme huko vyuoni wanakosoma.

Pamoja na hivyo hata wakifeli hupewa alama za juu ili wapasi kiaina na kurudi makwao.

Hiyo inatokea sana kwa nchi zote zinazotawaliwa kifalme na hasa za kiislamu.

Sina kumbukumbu za kutosha kuhusu mtoto wa mfalme wa Saudia na kama alifanikiwa kiasi gani kimasomo, hata hivyo nina uhakika sana amedanganywa sana kukubali kuondosha nidhamu zote za kiislamu zilizotawala nchi hiyo ambayo ni chimbuko muhimu la Imani ya kiislamu.

Sehemu aliyodannganywa zaidi ni katika kukuza utalii ili kukuza uchumi wa nchi hiyo na kuwacha kutegemea mafuta pekee.

Na aina ya watalii anaowalenga ni wale wanaoingia nchini humo kushuhudia michezo ambayo ni haramu au kuimba na kucheza uchi mambo ambayo yote hayakubaliwi na uislamu.

Hivi ipo nchi duniani inayoweza kuipiku Saudi Arabia kwa kupokea watalii wanaoingia kiibada na ambao wanaridhiwa na Allah. s.w.

Na je hajaona eneo jengine halali la kuwekeza na kukuza uchumi mbali na kukaribisha watu waovu na walevi wa kila aina?
Ww ni msaudia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyefanya exploration na hata kutoa teknolojia na ku promote biashara ya mafuta duniani ni huyo huyo mzungu, na bado anaweza kuja na mambo ya renewable energy akayaponda mafuta kwamba hayafai kutumika kwa mazingira ya sasa. Kwa hiyo makinika kujua namna mambo yanavyoendeshwa katika hii dunia..
 
Back
Top Bottom