tabu kuishi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 353
- 43
kamanda mbowe alimbinya mikono
Kwe kwe kweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
kamanda mbowe alimbinya mikono
Acha kuropoka. Baba yako ni baba yako tu. hata ukikataa JK ni raisi wa Tanzania. Mbowe ni mbunge hana ubavu hata kidogo kulinganishwa na JK. Utapata laana bure. Heshimu mamlaka iliyopo. poa?
[,
QUOTE=Paul Kijoka;4075934]Naona JK ka anaanguka vile kwa woga au siku hizi kapinda kiaina?