Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
mbona kamanda JK kashituka kidogo kama kakwepa ngumi hivi.
Halafu Mbowe ndo kama anamfariji vile.........dah!!
mbona kamanda JK kashituka kidogo kama kakwepa ngumi hivi.
Mbona kama huyo mwenye suti nyeusi anataka kuanguka?
Acha kuropoka. Baba yako ni baba yako tu. hata ukikataa JK ni raisi wa Tanzania. Mbowe ni mbunge hana ubavu hata kidogo kulinganishwa na JK. Utapata laana bure. Heshimu mamlaka iliyopo. poa?
Unakumbuka zile za watoto kuona polisi alafu wanakimbia??
hahahah........
hapa nani anayeonekana kuwa kamanda wa kiukweli ukweli
mkono wa chuma huo, ukishika madaraka ni soo!
JK kamanda bwana ni amiri jeshi mkuu. OKEY
KANALI Jakaya vs DJ Mbowe a.k.a BILLCANAS
hapa nani anayeonekana kuwa kamanda wa kiukweli ukweli
Swali la nani anaonekana kuwa kiukweli kwangu sio la msingi, ila ni lazima nishone gwanda!
hapa nani anayeonekana kuwa kamanda wa kiukweli ukweli