hapa nani anayeonekana kuwa kamanda wa kiukweli ukweli
Mbutaiyo,umesahau kitu,huyo jamaa mwingine anaonekana hajiamini kabisaaa,kiongozi ndiye huwa anashika wengine mabegane,lakini hapo yeye ndo kashikwa. Yaani inaonekana kama vile kamanda ndo rais halafu huyo mwingine ni mkuu wa wilaya.Unauliza majibu!?
Kamanda huwa anavaa gwanda, anavyosimama anaonekana sio kusimama kimdebwedo kama huyo mwingine.
mbona kamanda JK kashituka kidogo kama kakwepa ngumi hivi.
Naona JK ka anaanguka vile kwa woga au siku hizi kapinda kiaina?hapa nani anayeonekana kuwa kamanda wa kiukweli ukweli
JK kamanda bwana ni amiri jeshi mkuu. OKEY
Ok wa mafisadi wote Tz
walisahau kale kautaratibu wao wa kukodi mabasi na kubeba watu kutoka mikoa ya mbali kuja kuongeza wingi wa umati???
Unauliza majibu!?
Kamanda huwa anavaa gwanda, anavyosimama anaonekana sio kusimama kimdebwedo kama huyo mwingine.