Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Dah! Nimelikumbuka Fagio la chuma, ambalo lilikuwa linafagia kila uozo serikalini yaani adabu na heshima ilikuwepo likipita. lilikuwa linawafagia hadi mabwana afya waliozembea na kuanza kupotea kwenye mitaa yetu, yaani walikuwa wanapita majumbani mwetu hadi tukawazoea ila sikuhizi siwaoni, lilifagia wala rushwa wazembe yaani maadili ikarea kwenye mistari lakini huyo aliyeliiba au kulistopisha tu hilo FAGIO LA CHUMA Basi uzembe ukarejea ufisadi uhujumu uchumi viwanda viaanza kufa uchafu ukaongezeka ndio maana uchafu kimekuwa kamakitu cha kawaida nchini mwetu wasaidizi wa j.k watakao soma hapa wampelekee kilaza wetu anaweza waona wa maana akawaongezea na mishahara kabisa. aliyeiba FAGIO LA CHUMA ALIREJESHE. Ni ombi.