Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,124
Angekuwa Mwanaume ningemlaumu kwa kweli
Miaka mitano ajirani jeshi lolote la serikali hapa nchini inatosha kabisa kuitumia kutusua maisha
Nilikuwa najiona nimepambana kumbe hamna kitu aisee, bi dada kapambana ila hayo makanisa aliyokuwa sijui mlima wa moto jau tupu
Kwahiyo ni fix tupu!Shycom ni shule ya A level tupu na Sasa ni chuo Cha ualimu. Hakuna o level haswa miaka aliyosoma mhusika. Muweke rekodi vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hesabu ulijifunzia wapi? 1980 Mpaka 2000 kwa kukusaidia ni miaka mingapi? Jumlisha na 2000 hadi 2020. Tumia hiyo njia ya darasa la pili uone utapata ngapi? Sio kama hesabu hujui ila umekuwa too negative ndio maana umekosea kuhesabu .....Amezaliwa 1980, ina maana ana miaka 30...lakini tayari ana binti ambaye ameishaolewa mara mbili ??... Hii Hesabu haijakaa Vyema...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Amepambana, sasa kwenye kupamba kama aliteseka au hakuteseka kila mtu atapima mwenyewe
hesabu ya darasa la 3A imekushinda?....Amezaliwa 1980, ina maana ana miaka 30...lakini tayari ana binti ambaye ameishaolewa mara mbili ??... Hii Hesabu haijakaa Vyema...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha basi faiza...ulishawahi kufanya kazi zote mpaka utoe hitimisho hilo?feyzal
Kuwa polisi wa Tanzania na kuwa konda wewe umeona kazi bora ni kuwa polisi?
Binafsi naona kazi ya konda ni bora mara elfu kuliko kuwa "private" wa polisi.
Angekuwa Mwanaume ningemlaumu kwa kweli
Miaka mitano ajirani jeshi lolote la serikali hapa nchini inatosha kabisa kuitumia kutusua maisha
Nani amekudangnya kuajiriwa ndio kutusua...unajua mishahara ya maaskari wewe....acha kupiga porojo...huyo mama ni mpambanaji kinyama...ni anastahili kuitwa malkia wa ukweli
Kwahiyo wewe 500k unaiona nyingiiiiiiiiiiii.....askari wengi take home ya ni laki 3-4....na wanawategezi hawa...Nasikia mshahara wa maaskari wa wizara ya mambo ya ndani ni zaidi ya laki tano kwa mwezi , sasa kweli huo mshahara na gharama za maisha kwa hapa bongo mtu ushindwe kutusua?
Sijawah tapeli na sina utapeli, kanisa lipo na mchungaji yupo ni swala la imani unaweza kwenda mwenyewe kushuhudia pale kanisani jumapili uone kwa macho yako nakueleza hapa uje utoe ushuhuda hapa maana kila siku pale iko neema Ya Mungu inatenda kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
....Amezaliwa 1980, ina maana ana miaka 30...lakini tayari ana binti ambaye ameishaolewa mara mbili ??... Hii Hesabu haijakaa Vyema...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app