Nani kachukua nafasi ya Mwl Nyerere CCM?

Mafuchila,

Mimi nina imani marais wastahafu hawa hawa Mh. Mzee wetu Benjamin William Mkapa na Mh. Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi, wangekuwa marais kwenye jamii inayowajibika, inayofanya kazi tena kwa juhudi na maarifa bado hawa wazee wangekuwa mastaa wazuri sana.

Tatizo letu tunajiondolea wajibu wetu na kudhani marais ndio wafanye kazi yetu! Nitawapa mfano... matatizo ya Richmond kwa asilimia kubwa yamechangiwa na wataalamu wasioheshimu taaluma zao kutoka wizarani, na pale ofisi ya mwanasheria mkuu... hii sio rais.

Leo hii nakerwa sana kwamba watanzania wasiotoa kodi ndio mabingwa wa kutaka kufanyiwa kila kitu na serikali...

Kwa kweli taifa hili ambalo zinatenganisha HAKI na WAJIBU hatuwezi fika popote... unapotaka HAKI pia tekeleza wajibu wako... Jiulize kwa mwezi/mwaka unachaingia serikali kipato cha kiasi gani kama kodi?


Mwisho Mkapa aliitoa nchi mahali pabaya sana... nakumbuka UDSM, Mwinyi alipafanya pawe kama primary school. Mwinyi pia alituvusha vizuri kwenye siasa ya vyama vingi na mambo ya Utandawazi... tulikokosea... tulikosea, tuangalie tusijekosea tena....

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

UDSM inaongozwa na ma-Professor, je Mwinyi alifanyaje iwe primary school?
 
FMES Lowassa alikuwa mwizi from day one.. Alipokuwa waziri wa Ardhi is wen he over did it. Ananyumba masaki zaidi ya kumi.hahaha. Nyerere knew all this ndio maana alimkataa lakini JK na EL bado wakateam up in 1995 kwajili yakujiandaa for 2005. Sasa Huyu mtu alipitaje mpaka akawa waziri mkuu..??? Mbona uozo wa Malecela haukurusiwa kurudi (as in Kuwa Rais) maana alishaonyesha element chafu from before. Mwalimu hakumtaka and that was the basis for his elimination....

Mwalimu wanted power, good thing he was smart and knew wen to let go of it, therefore he retained his integrity. He did not want money because he was smarter than that, he recognised that money only does you good to the point that ur in the grave.. RESPECT LIVES ON.. He was a hero. Alikuwa na misimamo.. Viongozi wa saivi wanapenda power for a while and after that wa retire with tens or even if possible hundreds of millions of dollars.. (mimi nasemaga wana steam 'zakibillionaire')... Wote sio EL tu, BWM na wengine wengi. yes hata muungwana... pension ya rais ni 70 sijui labda saivi 100 million. SASA wao wanaona hizo pocket change... although wanaendelea kula 80% ya mshahara hadi kufa.hehehe

The word is GREED... Back to the topic, saivi hakuna m2 mwenye nafaisi ya Mwalimu at all, hamna mtu mwenye the integrity that he had katika uongozi wa CCM sasaivi... I doubt hata humu JF kama kuna mtu mmoja mwenye misimamo kiasi kile, sijui...,who am I to say?

>Mimi ningenda kuona real opposition in TZ, ambayo saivi hakuna... Kuna vyama vya Jazba... WAhuni, ma freemasons, makachero wanaozuga, the opposition is really a joke. CUF in ZNZ.. thts real. They keep winning alafuwanapotezwa.. 2010 itakuwa tamu.SIASA ZETU CHANGA SANA.....MNO>
 
Back
Top Bottom