Nani imewahi mkuta hivi?

Sijui niiteje hii hali.... four years ago niliachana na this guy!!!!
Damn I had to go through hell... niliumia mno I reached a point naongea mwenyewe ni kama nilikua half crazy au almost crazy.

Well with time nikaanza zoea na kupona, nkasahau yote. but sijui n woga sijui ni nin I can't move on si kwamba nampenda yule bwana hapana maana amewai jaribu ntafuta majibu niliompa atakua alienda jiangalia kwenye kioo kama kweli n mwanaume na yale maneno yote n yake.....

Sijui n ganzi ya moyo sielewi!!! sijui ni psychological problem sijui???!! leo nilikua nachat na jamaa ambae I can say somehow nilimuelewa, but within me kuna kitu hua kinakataa kabisa Inapokuja kuanza relationship mpya
Nimemjibu simple tu "achana na mim akili angu naijua mwenyewe nsije kupa kichaa bure"
But si kwamba nina relationship, si kwamba I don't miss good moments... I just don't... just don't... with no reason mwanaume anaechukua namba angu ataishia kuangalia meme coz I love posting memes ata 20 per day. but when it comes to love jamani mtu akiingiza Ayo Mambo najikuta nachukia adi nakosa pumzi.
But nikikaa tena najiuliza for how long ntaishi ivi??!!

Aroo acheni tu am going through hell in mind and body and I've zero idea when will this end??!!naumia nyie acheni tu.
Ukiona hivyo ujue umekuwa "meme" uanazopenda kuzipost

You are what you eat
 
Ishara ya kwanza ya binadamu mpweke kwa Karne hi ni kupost picha nyingi status .sizungumzii wafanya biashara wanao post bidhaa.

Hivyo dada yangu nikuambie tu ukweli wewe ni mpweke Sana na jiangalie Sana maana bado kidogo utafika hatua ya kujikataa na ukifika hapa utajiona huna thamani yaani utaona maisha hayana maana kabisa kwako ambayo ni stage hatari kwako ...Cha kufanya ni pm
 
sitaki nataka, we sema haujakutana na mwanamme mwenye gari
Wanawake wanao jiona viwango huishia kupata shida Duniani ! Tatizo kubwa ni lao kutaka wanaume wawajali kupita kiasi.wanaume huwapenda wanawake simple na walio serious katika maisha. Aina hii ya huyu mleta post ni kupiga mara mbili tatu basi unaachana nae.
 
Kama kichwani ndio umejaza mikolokolo ya " u known me, within, but love ata si enjoy, I can't fell moment si una jua but, " utatom#bw*a na kuachika tu
 
Sijui niiteje hii hali.... four years ago niliachana na this guy!!!!
Damn I had to go through hell... niliumia mno I reached a point naongea mwenyewe ni kama nilikua half crazy au almost crazy.

Well with time nikaanza zoea na kupona, nkasahau yote. but sijui n woga sijui ni nin I can't move on si kwamba nampenda yule bwana hapana maana amewai jaribu ntafuta majibu niliompa atakua alienda jiangalia kwenye kioo kama kweli n mwanaume na yale maneno yote n yake.....

Sijui n ganzi ya moyo sielewi!!! sijui ni psychological problem sijui???!! leo nilikua nachat na jamaa ambae I can say somehow nilimuelewa, but within me kuna kitu hua kinakataa kabisa Inapokuja kuanza relationship mpya
Nimemjibu simple tu "achana na mim akili angu naijua mwenyewe nsije kupa kichaa bure"
But si kwamba nina relationship, si kwamba I don't miss good moments... I just don't... just don't... with no reason mwanaume anaechukua namba angu ataishia kuangalia meme coz I love posting memes ata 20 per day. but when it comes to love jamani mtu akiingiza Ayo Mambo najikuta nachukia adi nakosa pumzi.
But nikikaa tena najiuliza for how long ntaishi ivi??!!

Aroo acheni tu am going through hell in mind and body and I've zero idea when will this end??!!naumia nyie acheni tu.
You need a psychological help ASAP. You real loved that dude and what yo going through right now is resulted from breaking with him up unexpectedly.
 
Sijui niiteje hii hali.... four years ago niliachana na this guy!!!!
Damn I had to go through hell... niliumia mno I reached a point naongea mwenyewe ni kama nilikua half crazy au almost crazy.

Well with time nikaanza zoea na kupona, nkasahau yote. but sijui n woga sijui ni nin I can't move on si kwamba nampenda yule bwana hapana maana amewai jaribu ntafuta majibu niliompa atakua alienda jiangalia kwenye kioo kama kweli n mwanaume na yale maneno yote n yake.....

Sijui n ganzi ya moyo sielewi!!! sijui ni psychological problem sijui???!! leo nilikua nachat na jamaa ambae I can say somehow nilimuelewa, but within me kuna kitu hua kinakataa kabisa Inapokuja kuanza relationship mpya
Nimemjibu simple tu "achana na mim akili angu naijua mwenyewe nsije kupa kichaa bure"
But si kwamba nina relationship, si kwamba I don't miss good moments... I just don't... just don't... with no reason mwanaume anaechukua namba angu ataishia kuangalia meme coz I love posting memes ata 20 per day. but when it comes to love jamani mtu akiingiza Ayo Mambo najikuta nachukia adi nakosa pumzi.
But nikikaa tena najiuliza for how long ntaishi ivi??!!

Aroo acheni tu am going through hell in mind and body and I've zero idea when will this end??!!naumia nyie acheni tu.
Imegota ...try to let it go...with time itatoweka hiyo hali lakini kibaya ni kwamba inaweza kukuachia damage kubwa kihisia..Am sure uko below 25...fanya mengine kwasasa usizidi kuziumiza hisia..zikipata ulemavu wa kudumu utageuka kuwa man hater na unaeza kuingia kwenye usagaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui niiteje hii hali.... four years ago niliachana na this guy!!!!
Damn I had to go through hell... niliumia mno I reached a point naongea mwenyewe ni kama nilikua half crazy au almost crazy.

Well with time nikaanza zoea na kupona, nkasahau yote. but sijui n woga sijui ni nin I can't move on si kwamba nampenda yule bwana hapana maana amewai jaribu ntafuta majibu niliompa atakua alienda jiangalia kwenye kioo kama kweli n mwanaume na yale maneno yote n yake.....

Sijui n ganzi ya moyo sielewi!!! sijui ni psychological problem sijui???!! leo nilikua nachat na jamaa ambae I can say somehow nilimuelewa, but within me kuna kitu hua kinakataa kabisa Inapokuja kuanza relationship mpya
Nimemjibu simple tu "achana na mim akili angu naijua mwenyewe nsije kupa kichaa bure"
But si kwamba nina relationship, si kwamba I don't miss good moments... I just don't... just don't... with no reason mwanaume anaechukua namba angu ataishia kuangalia meme coz I love posting memes ata 20 per day. but when it comes to love jamani mtu akiingiza Ayo Mambo najikuta nachukia adi nakosa pumzi.
But nikikaa tena najiuliza for how long ntaishi ivi??!!

Aroo acheni tu am going through hell in mind and body and I've zero idea when will this end??!!naumia nyie acheni tu.
Una tatizo la kisaikolojia, unahitaji kuongea na mtaalam akusaidie kupona haya majeraha ya kihisia uliyonayo
 
Sijui niiteje hii hali.... four years ago niliachana na this guy!!!!
Damn I had to go through hell... niliumia mno I reached a point naongea mwenyewe ni kama nilikua half crazy au almost crazy.

Well with time nikaanza zoea na kupona, nkasahau yote. but sijui n woga sijui ni nin I can't move on si kwamba nampenda yule bwana hapana maana amewai jaribu ntafuta majibu niliompa atakua alienda jiangalia kwenye kioo kama kweli n mwanaume na yale maneno yote n yake.....

Sijui n ganzi ya moyo sielewi!!! sijui ni psychological problem sijui???!! leo nilikua nachat na jamaa ambae I can say somehow nilimuelewa, but within me kuna kitu hua kinakataa kabisa Inapokuja kuanza relationship mpya
Nimemjibu simple tu "achana na mim akili angu naijua mwenyewe nsije kupa kichaa bure"
But si kwamba nina relationship, si kwamba I don't miss good moments... I just don't... just don't... with no reason mwanaume anaechukua namba angu ataishia kuangalia meme coz I love posting memes ata 20 per day. but when it comes to love jamani mtu akiingiza Ayo Mambo najikuta nachukia adi nakosa pumzi.
But nikikaa tena najiuliza for how long ntaishi ivi??!!

Aroo acheni tu am going through hell in mind and body and I've zero idea when will this end??!!naumia nyie acheni tu.
Ungeandika kiswahili wengi wangeelewa
 
.....jamani mtu akiingiza Ayo Mambo najikuta nachukia adi nakosa pumzi......
Mimi mtu akiwa ana post ma Meme zaid ya 3 kwenye status huwa Nachukia sanaa..

Halaf hilo suala la kukosa pumzi angalia isije ikawa changamoto ya upumuaji..chukua tahadhari usije ukaambukiza wengine...
 
Back
Top Bottom