lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,126
- 33,156
Salaam
Kukatika ni sanaa nzuri sana imfurahishayo mwanaume wakati akila tunda. Miaka ya nyuma sanaa hii ilikua inafundishwa na watu maalum kwa baadhi ya makabila.
Kwa sasa inafanywa na wasichana na wanawake wa makabila yote tena bila kupitia mafunzo hayo yaliyokuwa yakitolewa kwa wasichana maalum, mahali maalum na kwa vipindi maalum.
Sasa siku hizi ukibahatika kupata baadhi ya wasichana/wanawake kutoka kabila lolote wengi wanaijua Sanaa hii vizuri sana tu. Hususan wasichana wangi Kati ya miaka 19 na kuendelea. Tena wanajua kwa viwango vya juu Sana.
Je, wanafundishwa na nani?
Wanafundishiwa wapi?
Kukatika ni sanaa nzuri sana imfurahishayo mwanaume wakati akila tunda. Miaka ya nyuma sanaa hii ilikua inafundishwa na watu maalum kwa baadhi ya makabila.
Kwa sasa inafanywa na wasichana na wanawake wa makabila yote tena bila kupitia mafunzo hayo yaliyokuwa yakitolewa kwa wasichana maalum, mahali maalum na kwa vipindi maalum.
Sasa siku hizi ukibahatika kupata baadhi ya wasichana/wanawake kutoka kabila lolote wengi wanaijua Sanaa hii vizuri sana tu. Hususan wasichana wangi Kati ya miaka 19 na kuendelea. Tena wanajua kwa viwango vya juu Sana.
Je, wanafundishwa na nani?
Wanafundishiwa wapi?