Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,470
- 272
Fikiria mmeoana na ndoa yako ina miaka zaidi ya kumi.
Wote kibaiolojia mko fiti kabisa...!!
lakini ndoa yenu haijabahatika kuwapeni mtoto ilhali jitihada za dhati...!!
wewe kidume umechepuka magendo one tym... nyumba ndogo inashika mimba...!!
Mkeo anastukia hiyo ishu....hakwambiii.... anatulia tuli na anakupa mapenzi ya that
MFANO WEW MWANA JAMII UNAKUWA RAFIKI WA FAMILIA HII NA WAJUA SITUATION ILIVO...WADHANI NANI ATAKUA ANAUMIA ZAIDI... UNAWEZA KUSAIDIAAJE KATIKA HILI...!!!
Wote kibaiolojia mko fiti kabisa...!!
lakini ndoa yenu haijabahatika kuwapeni mtoto ilhali jitihada za dhati...!!
wewe kidume umechepuka magendo one tym... nyumba ndogo inashika mimba...!!
Mkeo anastukia hiyo ishu....hakwambiii.... anatulia tuli na anakupa mapenzi ya that
MFANO WEW MWANA JAMII UNAKUWA RAFIKI WA FAMILIA HII NA WAJUA SITUATION ILIVO...WADHANI NANI ATAKUA ANAUMIA ZAIDI... UNAWEZA KUSAIDIAAJE KATIKA HILI...!!!