Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,266
Mwanamke sio chombo cha usafiri upande bajaj pikipiki n.k. kamsikilize [HASHTAG]#navy[/HASHTAG] kenzo ft. Patoranking - Bajaj
Wavulana Ndo Wanatabia Za Kijinga Kama Nyie Wanaume Hatupo Hivyo Napita Kuwaelimishasasa unafanyeje huku
jiandae cku moja mkeo na bintiyo wataliwa na jamaa mmojaIliwahi kunitokea, Nilikuwa napiga Jimama moja hivi tukadumu kama mwaka hivi. Siku moja likanambia twende kwenye B,day ya mjukuu wake, kidume sipendi dharau kwenye party..
Huyo Binti alikuwa kaolewa mumewe mshuwa yaani binti anafugwa.nikamtumia Mama yake kufanya udukuzi, Manake huyo Binti matata ana hips yaani ana wezere mbinuko unaweza weka hata kikombe cha chai kisianguke.
Basi siku ya pili yake nikajifanya naenda kumuulizia Mmama, Kumbe nia yangu anipe namba yake, akanipa kiulaiini sikufanya ajizi, Siku ya tatu nikapiga Show Kali. Penzi haramu lilinoga binti akawa na wivu Hatare e e e.
Baada ya mwezi akajuwa kuwa namkunja yeye na Mama yake, kumbe alikuwa ananipeleleza Kwa Mama yake. Na Mama akawa anaropoka. Alinichukia sana mpaka Leo hataki kuniona. Which is good Mama yake hajajua mpaka Leo !
Mrembo,tatizo linakuja pale mama mtu mzima anaona wazi kijana anatoka kimapenzi na binti wake,lakini atajishebedua mbele ya kijana mpaka aliwe yeye,sasa hapo kosa ni la kijana au mama?coz kijana anamuheshimu mama kisana tu,sasa mama anaanza kukaa kihasara mbele ya kijana na kuanza kumvuta kihisia,kijana anaona mama anavyoteseka na hisia zake,kijana anaona daah,.,., nifanyeje sasa?maana mama wa mrembo wangu anaumia na mimi namuheshimu,lakini heshima haifui dafu,kijana huruma inamuingia,anajisemea moyoni basi acha nimpe mama nyonyo ili anyonye,akishiba ataniachia binti yake mazima au vipi?, mama nitamtia ili tu apoze kiu yake,basi kijana anaamua kumpanda mama na kumkojolesha mpaka mama anashiba maziwa,tatizo la kina mama mkwe wakiishambwato wanataka kuwapiku mabinti zao kwa kufikiri eti yeye ana maujuzi ya kukatika sana kitandani,halafu humwambia kijana eti kaache hako kabinti kangu kanuka mikojo,hakajui mapenzi,wewe uwe wangu tuuuu,na hako kabinti kangu nitakaambia wewe ni baba yake au unaonaje?sasa hapo ni nani wa kulaumiwa?Duuh hatari, jiweke huyo ndiyo mzazi wako na yule ni dada yako wanafanyiwa ivyo utajisikiaje?? Usimfanyie binadam mwenzio kitu usichopenda kufanyiwa wewe.