Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,452
- Thread starter
- #101
Mkuu mkombengwa, ile tuu hali ya kuwa shetani, tayari ni auasi, hivyo shetani hasi , tayari ni hasi, ila wako mashetani ambao wanatubu na kumrudia Mungu, hawa hugeuka tena malaika.Malaika walioasi yaligeuka mashetani....HIVI KUNA SHETANI ALIYEASI?AJE KUWA MALAIKA!
Hatari zaidi ni wale malaika ambao kwa nje ni malaika lakini kwa ndani ni mashetani!, hivyo hawa wame pose kama malaika but in fact ni mashetani. Malaika hawa ndio waliopanga shambulizi la Lissu, kwa nje ni malaika lakini kwa ndani ni mashetani.
P.