Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,761
- 2,311
Sisi si tulifanywa clonng kwa ajili ya uchimbaji wa madini na anunaki/watchers/angel/aliens.....
enki ndiye aliekuwa master plan mkuu na enlil ndie aliekua mpingaji mkuu baada ya kazi kuwa binadamu walipokwisha kuwafanyia kazi zao za kuchimba madini kwa ajili ya mahitaji yao huko mbali walipotoka baasi watumalize wote,enki alibakisha binadamu kadhaa kabla ya kusambaratisha dunia maana dunia kwao ilikuwa hivi...
A.DAM-mnyama
EDEN-mbuga ama hifafhi ya wanyama ..
NITAENDEAGA NIKITULIA...
enki ndiye aliekuwa master plan mkuu na enlil ndie aliekua mpingaji mkuu baada ya kazi kuwa binadamu walipokwisha kuwafanyia kazi zao za kuchimba madini kwa ajili ya mahitaji yao huko mbali walipotoka baasi watumalize wote,enki alibakisha binadamu kadhaa kabla ya kusambaratisha dunia maana dunia kwao ilikuwa hivi...
A.DAM-mnyama
EDEN-mbuga ama hifafhi ya wanyama ..
NITAENDEAGA NIKITULIA...