Nani hasa anaimiliki na kuitawala dunia tunayoishi?

Sisi si tulifanywa clonng kwa ajili ya uchimbaji wa madini na anunaki/watchers/angel/aliens.....


enki ndiye aliekuwa master plan mkuu na enlil ndie aliekua mpingaji mkuu baada ya kazi kuwa binadamu walipokwisha kuwafanyia kazi zao za kuchimba madini kwa ajili ya mahitaji yao huko mbali walipotoka baasi watumalize wote,enki alibakisha binadamu kadhaa kabla ya kusambaratisha dunia maana dunia kwao ilikuwa hivi...

A.DAM-mnyama
EDEN-mbuga ama hifafhi ya wanyama ..

NITAENDEAGA NIKITULIA...
 
Asee,naomba utulie uendelee
Sisi si tulifanywa clonng kwa ajili ya uchimbaji wa madini na anunaki/watchers/angel/aliens.....


enki ndiye aliekuwa master plan mkuu na enlil ndie aliekua mpingaji mkuu baada ya kazi kuwa binadamu walipokwisha kuwafanyia kazi zao za kuchimba madini kwa ajili ya mahitaji yao huko mbali walipotoka baasi watumalize wote,enki alibakisha binadamu kadhaa kabla ya kusambaratisha dunia maana dunia kwao ilikuwa hivi...

A.DAM-mnyama
EDEN-mbuga ama hifafhi ya wanyama ..

NITAENDEAGA NIKITULIA...
 
Sisi si tulifanywa clonng kwa ajili ya uchimbaji wa madini na anunaki/watchers/angel/aliens.....


enki ndiye aliekuwa master plan mkuu na enlil ndie aliekua mpingaji mkuu baada ya kazi kuwa binadamu walipokwisha kuwafanyia kazi zao za kuchimba madini kwa ajili ya mahitaji yao huko mbali walipotoka baasi watumalize wote,enki alibakisha binadamu kadhaa kabla ya kusambaratisha dunia maana dunia kwao ilikuwa hivi...

A.DAM-mnyama
EDEN-mbuga ama hifafhi ya wanyama ..

NITAENDEAGA NIKITULIA...
Nimepata kitu japo kidogo
 
Samahani naomba unifahamishe. YEHOVA ni lugha ya wapi? Kama hautojali naomba uichambue ili nipate kuelewa.
Dunia na wote wakaao Ni Mali ya MUNGU YEHOVA

lakini mungu wa mfumo huu wa Mambo NI ibilisi
Kama hujanielewa usisite kuniuliza
 
According to the holly Bible.... Katika Zaburi 24 fungu la kwanza anasema... nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA,Dunia na wote wakaao ndani yake
Pia katika Ayubu 41:11 and more other...
 
Tusubiri kuna watu wanalifanyia kazi hili swala...kupitia CERN project watawaweza kutoa ufafanuzi zaidi japo kinachotolewa kinakuwà kina 1/3 ya ukweli ,sasa hapo sijui ukweli utawekwa wazi lini....hata mimi naumiza akili sana kutaka kujua kwanini hawatushirikishi
Labda project hii inaweza kuja na majibu kamili....View attachment 981774View attachment 981775
tapatalk_1525714234210.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
CERN wapo ili kuiharibu dunia nasi kuendeleza dunia kwa manufaa ya kakikundi flani, waulize hata leo hao CERN Nini chanzo hasa Cha #UFO vyombo visadikikavyo vinatoka sayari za mbali #Hawana majibu lakini kila siku vyombo vyao voyager 1 na Voyager 2 wanatuonyesha vimeshafika( Intersteller ) yaani zaidi kilometa billioni 11 kutoka ktk mfumo wetu wa jua, lakini hivi vyombo UFO hawavioni huko Sasa sijui vinapita wapi, lakini vumbuzi za masayari kila siku wanatuonyesha.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
apana, ila kuna tofautinkati ya dunia na ulimwengu, Anaemiliku ulimwngu means anamiliki hadi fikira za waishio ulimwnguni na luxury zote huyo ndo shetani, na Mungu wa Dunia ni nsio uyo tunaemwita Yehova, yeye ni Muumbaji na ndo mtoa uhai
Mh! Kwahyo unataka kusema YEHOVA maana yake n ibilisi au...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You can not understand the universe specifically the way way how it works in lowest dimension form....

Kila siku nasema kuwa mwanadamu upo katika lowest level ya frequency dimension...

lower life forms can not understand the total realm mpaka uingie katika highest life form dimension (quantum) na kutokana na habitat yetu kuwa katika lower dimension ndo mana tunashindwa kusynchronize na higher dimension of reality..

At higher dimension za quantum realm( scale) kila kitu kimewekwa wazi, and it's fraction of second to understand how particles of nature interact under supersonic speed of reality with no illusion..

Hivi unalazimishaje uelewe mfumo ulivyo wakati upo ndani ya dimension ndogo wakati mfumo unaokutawala upo katika dimension scale kubwa...?? Insane....

Yani nasema tena na kurudia tena elimu zetu za biblia ni ndogo sana kuelezea how everything is processed kwa sababu watu wake wapo katika low level ya quatum scale( Realm ) na huwezi ukaelewa katika quantum scale ndogo mfumo ulio katika high quantum scale...ndo mana hata waliotutangulia maarifa wapo katika kufaiti wajue kuinterprete things under higher dimension in quantum realm state make huko vitu vipo wazi ,tunawaita wenye ulimwengu kwa sababu wamewahi kuelewa maarifa flani jinsi mfumo katika lower dimension ulivyo na dimension za reality zipo katika scale flani na kufanya mgawanyo wa quantun realm katika level tofauti . ..

The universe has offered a number of quantum realm posibilities za frequency dimensions entity tofauti ili kila kiumbe chenye uelewe wowote kiweze kusavaivu kulingana na uelewa wako ..

The universe is more flux,it offers higher number of quantum posibility ya kila kiumbe kusaivu under different levels za dimensions,the more unaingia katika dimension kubwa ndipo ulimwengu unakuweka kwenye level zingine za uhalisia wa maisha and vice versa

Hapo ulipofikia leo na uliyoyafahamu hukutegemea kama ungefika hapo na hata kama ulitegemea kufika hapo lakini kwa perception tofauti ,meaning that the universe is more flux,it offers more options kwa kila kiumbe kutokana na quantum realm scale uliyoascend na haina upendeleo na mtu,kila kiumbe atasavaivu kutokana na quantum scale alipofikia na utakufa katika quantum awareness ulipokuwa umefikia, hata perception ni tofauti kwa sababu the magneto frequency ya awareness inashift kwa speed kubwa sana ,so we have to interprete the magneto quantum scale frequency inayotushikilia wote ,but in oreder to understand ,we have to reach as higher as possible katika higher dimension entity za quantum realm..


Kuna watu wamefanikiwa kuwa katika dimensions flani za juuu na hao ndo tunawaita wenye ulimwengu huu simply because they can manipulate any reality na kuwa illusion kupitia quantum scale inversions of reality...

Wanatusubject kwenye quantum illusion state ambayo inaprovide magneto frequency kadhaaa ya kukushikilia uendelee kucheza na frequency quantum scale flani katika hiyo hiyo low dimension yako na hutaweza kamwe kufikia au kuascent into higher dimension kiasi cha kumanipulate reality..

You can not identify the owner of the universe katika low quantum realm state au lower dimension wakati inhabitation yake ipo katika higher dimension za quantum level..
you need to ascent to break up the lower forces ambazo zimekusubject kwenye illusion of reality ..

Hakuna mtu katika lower dimension state atakayekuja hapa kujifanya kuelezea jinsi owner wa universe alivyo kwa sababu you can not describe the higher quantum superposion wakati wew upo katika lower life forms...

Ndo mana kuna watu kama kina Werner Karl Heisenberg na Schrödinger wamejaribu kulitolea hili swala kwa ufafanuzi wa kimafumbo kuwa ni ngumu sana kupredict the true value au uwepo wa kitu bila kuwa eneo husika katika dimension flani...unless utakuwa uongo..

Ndo mana jamaaa anasema kuwa kuna kitu kinaitwa the observer effect, which notes that measurements of certain systems cannot be made without affecting the systems, that is, without changing something in a system. Heisenberg utilized such an observer effect at the quantum level as a physical "explanation" of quantum uncertainty kama ilivyo ngumu kujua sehemu( position ya kitu kilipo) pamona na speed yake kwa pamoja...

Hawa watu walikuwa wanatolewa ufafanuzi haya mambo kwa madumbo sana ndo mana hata watu waliosoma physics mpaka leo ukimuliza maana ya maneno yale atakimbilia kukwambia jamaaa walikuwa wanazungumzia electron,probably it is electron katika quatum awareness yako wew but in higher dimension analysis inaongelea mfumo mzima katika quatum scale ya juu snaa..

Watu wa dini na unajimu wataendela kukazia mambo yao hapa na hakuna atakaetoa jibu la maana hapa unless uingie katika quantum scale kubwa ndipo utaweza kujua mfumo mzima wa jinsi ulimwengu unavyooperate ndipo unaweza ukatoa jibu la mwisho kuwa kuna mtu anaiendesha au ni self operating kwa reason inayoijua yenyewe..
this issue its too complicated
 
Back
Top Bottom