Mfuga Mbwa
Member
- Dec 1, 2012
- 18
- 2
[h=5]Jamaa na demu wake walipanga kujiua,wakapnda kwenye gorofa la 10,wakaanza kuhesabu 1,2, ikifika 3 waruke,3 ilipofika jamaa akaruka dem akabaki na kujisemea "love is blind but I'm not blind,kisha akaondoka,mwanaume akiwa anashuka akaangalia nyuma alipoona hamna dem akafungua parashuti lake aliloficha na kujisemea "stupid I can't die b'se of love"
Nani hapo kamcheat mwenzake??[/h]
Nani hapo kamcheat mwenzake??[/h]