RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
shida hamjajua znz wandhani kuhodhi mafuta na gas basi hawatahitaji tena lolote toka bara, form umeme, utaalamu etc, wanasahau kuwa tumekuwa tunakula pamoja for so long bila kuhudge nani ni nani? tena znz wapo wachache ukigawanya kwa ratio wao wanatuzidi mgawo.Kumbuka ni juzi tu hapa wameanza kulipia umeme, maji, na huduma kinbao zipo free huko. hali iliyowafanya wakawa wavuvu, nani anabisha znzb si wavivu, wachapakazi ni robo ya watu, others uvivu tupu, sasa hata tukiwaachia mafuta yatakuwa hayana faida kwani wjanja watayapitia, heri ya bara yanaliwa japo sio yote!!