Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,585
- 5,758
Kama Msekwa ambaye alionekana Mr. Clean ndani ya CCM naye anatuhumiwa, nani msafi aliyebaki katika ccm atawahoji watuhumiwa waliopo ndani ya ccm waliokwiba wanyama hai na kuwapakia kwenye ndege KIA?
Nani mtu msafi CCM atakayehoji wenzake? Mtu ambaye hakuchukua nyumba za serikali kwa bei sawa na bure! Mtu ambaye hahusiki kwenye kashfa ya rada; hahusiki kwenye kashfa ya migodi; meremeta, Mwananchi Gold, Deep Green, Majengo pacha ya Benk kuu, hahusiki kuiba kura, hakukodiwa ndege na Barrick?
Simwoni hata mmoja, maana CCM imefika ukingoni, imekwisha.
Nani mtu msafi CCM atakayehoji wenzake? Mtu ambaye hakuchukua nyumba za serikali kwa bei sawa na bure! Mtu ambaye hahusiki kwenye kashfa ya rada; hahusiki kwenye kashfa ya migodi; meremeta, Mwananchi Gold, Deep Green, Majengo pacha ya Benk kuu, hahusiki kuiba kura, hakukodiwa ndege na Barrick?
Simwoni hata mmoja, maana CCM imefika ukingoni, imekwisha.