MovingForward
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 489
- 49
Miaka ya hivi karibuni tulishuhudia mwandishi wa habari kule Iraq akimtupia Rais mstaafu George W Bush kiatu akionyesha kutokukubaliana na vita vya malekani zidi ya Iraq.
Ikiwa matokeo ya uchaguzi yanaonekana kuchakachuliwa hapa TZ na watu wengi kuonyesha kutokubaliana na ushindi wa JK, je! isingelikuwa ni njia nzuri ya kupeleka ujumbe kwa JK kwamba hakubaliki kwa mtanzania hata mmoja (mwanachama wa CHADEMA) kufanya tukio la kioja kama la mwandishi wa Iraq?
Ikiwa matokeo ya uchaguzi yanaonekana kuchakachuliwa hapa TZ na watu wengi kuonyesha kutokubaliana na ushindi wa JK, je! isingelikuwa ni njia nzuri ya kupeleka ujumbe kwa JK kwamba hakubaliki kwa mtanzania hata mmoja (mwanachama wa CHADEMA) kufanya tukio la kioja kama la mwandishi wa Iraq?