Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,275
- 33,876
Nani atachukua hatua za kwenda mahakamani kupinga uteuzi wa Bashiru kwamba umekiuka Katiba?
Kama kweli Katiba imevunjwa basi ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kutafsiri sheria za nchi hii pamoja na Katiba!!
Nani atakayethubutu kufungua Kesi kupinga uteuzi wa Dr. Bashiru Ally kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?
Kama kweli Katiba imevunjwa basi ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kutafsiri sheria za nchi hii pamoja na Katiba!!
Nani atakayethubutu kufungua Kesi kupinga uteuzi wa Dr. Bashiru Ally kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?