Nani atakwenda Mahakamani kupinga uteuzi wa Bashiru?

Hawa wenzetu ni watu wa ajabu sana, hawana facts wao ni ushabiki wa hovyo tu

Uteuzi wa balozi Dr Bashiru Ally kuwa katibu mkuu kiongozi, uko sawa kabisa hakuna kifungu chochote cha katiba kilichovunjwa

Ndio maana mheshimiwa Rais alianza kwa kumteua kuwa balozi ( mtumishi wa umma) na hata kuapa leo alianza kuapa kwanza kuwa balozi na ndipo baadaye akaapa kuwa chief secretary( Katibu Mkuu Kiongozi)

Na hii sio mara ya kwanza kwa balozi kuteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi

Mheshimiwa Rais wa awamu ya nne, Dr Jakaya Kikwete, alimteua balozi Ombeni Sefue kuwa katibu mkuu kiongozi , akiwa balozi wa Tanzania nchini Marekani

Mheshimiwa Rais Dr John Pombe Magufuli, alimteua balozi Injinia John Kijazi kuwa katibu kiongozi, akiwa balozi wa Tanzania nchini India

Sasa iweje leo kwa balozi Dr Bashiru Ally kuteuliwa kuwa katibu kiongozi ndio iwe ajenda????
Marehemu Kijazi aliteuliwa kuwa balozi akiwa mtumishi wa umma. Kabla ya kuwa balozi, alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na kabla ya hapo alishika nyadhfa mbalimbali kama mhandisi.

Amandla...
 
Hawa wenzetu ni watu wa ajabu sana, hawana facts wao ni ushabiki wa hovyo tu

Uteuzi wa balozi Dr Bashiru Ally kuwa katibu mkuu kiongozi, uko sawa kabisa hakuna kifungu chochote cha katiba kilichovunjwa

Ndio maana mheshimiwa Rais alianza kwa kumteua kuwa balozi ( mtumishi wa umma) na hata kuapa leo alianza kuapa kwanza kuwa balozi na ndipo baadaye akaapa kuwa chief secretary( Katibu Mkuu Kiongozi)

Na hii sio mara ya kwanza kwa balozi kuteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi

Mheshimiwa Rais wa awamu ya nne, Dr Jakaya Kikwete, alimteua balozi Ombeni Sefue kuwa katibu mkuu kiongozi , akiwa balozi wa Tanzania nchini Marekani

Mheshimiwa Rais Dr John Pombe Magufuli, alimteua balozi Injinia John Kijazi kuwa katibu kiongozi, akiwa balozi wa Tanzania nchini India

Sasa iweje leo kwa balozi Dr Bashiru Ally kuteuliwa kuwa katibu kiongozi ndio iwe ajenda????
Sefue alikuwa Katibu wa CCM?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wivu wa kitu gani?

Wivu ni kwenye mapenzi siyo kwenye masuala makubwa na muhimu ya kitaifa!!
Masuala ya kitaifa! Who are you kidding - hoja zako zinaonekana wazi wazi zimekuwa overly driven na trait ya kwa nini? Kwa maneno mengine wivu na roho ya kutu ndio inawasumbuwa - mnakimbilia kuhoji, eti: "mbona katiba imevunjwa??" mko mahili sana ku-shed crocodile tears - mnaleta usanii mnafikiri hatuna uwezo wa kuwasoma kisaikolojia na kubaini kinacho wasumbuwa ni wivu tu, repeat WIVU, period.
 
Nani atachukua hatua za kwenda mahakamani kupinga uteuzi wa Bashiru kwamba umekiuka Katiba?

Kama kweli Katiba imevunjwa basi ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kutafsiri sheria za nchi hii pamoja na Katiba!!

Nani atakayethubutu kufungua Kesi kupinga uteuzi wa Dr. Bashiru Ally kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?
Subirini utasikia Subwoofer anaibukia huko nyuma ya Nyumba jirani kujibu hilo na uhalali wake ... wakati mwenye Nyumba ya kujibu hilo hathubu kufungua mdomo wake ...

... ama kweli Tanzania tumepatikana ase
 
ILALA KUWA JIJI; RAIS AMEVUNJA KATIBA

Mnavunja SHERIA! Rais hana mamlaka chini ya Local Government (urban authorities) act kutengeneza urban authority. Hii ni mamlaka ya WAZIRI wa TAMISEMI.

Kifungu cha 7 cha SHERIA ya Local Government, Waziri anatakiwa kutoa NOTISI ya miezi 2 kwenye GOVERNMENT GAZETTE na gazeti jengine ili kuwapa wananchi muda wa KUPINGA hayo maamuzi.

Mnavunja SHERIA. Mtu asiye na mamlaka anafanya anavyotaka bila ya kufuata UTARATIBU uliyowekwa chini ya SHERIA. Magufuli akiambiwa AFUATE SHERIA na TARATIBU anapandisha HASIRA halafu anataka kuFIX watu! SHERIA ziko ili tusiwe na CHAOS! Anafanya CHAOS kwa maamuzi ya MAJUKWAA!

Wananchi wakipinga maamuzi ya Waziri, ni lazim Waziri asikilize malalamiko ya kupinga na ayachukuwe manani. Halafu anatakiwa kupeleka Maamuzi mbele la Bunge!

Kwa mujib ya SHERIA, WAZIRI ana lazima ya kutumia DISCRETIONARY POWER yake JUDICIOUSLY! Ina maana kungekuwa na PAPER kutoka WATAALAM kueleza kwanini Halmashauri zivunjwe na itengenezwi 1! Mkiitwa STUPID mnahamamki! Kwanini lakini wakati hamuelewi UTAWALA wa SHERIA?

Fatma Karume
Asante niliona twita kwa Fatuma Karume, asante sana rafiki
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Masuala ya kitaifa! Who are you kidding - hoja zako zinaonekana wazi wazi zimekuwa overly driven na trait ya kwa nini? Kwa maneno mengine wivu na roho ya kutu ndio inawasumbuwa - mnakimbilia kuhoji, eti: "mbona katiba imevunjwa??" mko mahili sana ku-shed crocodile tears - mnaleta usanii mnafikiri hatuna uwezo wa kuwasoma kisaikolojia na kubaini kinacho wasumbuwa ni wivu tu, repeat WIVU, period.
Pumba hizi....! Aisee, kuwa mwana CCM lazima ujitoe fahamu!
 
Sorry mkuu hivi kipengele gani kimevunjwa?

Maana amepewa ubalozi ili awe mtumishi wa UMMA ndio akateuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi
Sijui nikujibu au! Potelea mbali nikujibu. Mwl wa chuo ni mtumishi wa UMMA na Dr Bashiru bado ni mtumishi wa UDSM
 
Nani atachukua hatua za kwenda mahakamani kupinga uteuzi wa Bashiru kwamba umekiuka Katiba?

Kama kweli Katiba imevunjwa basi ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kutafsiri sheria za nchi hii pamoja na Katiba!!

Nani atakayethubutu kufungua Kesi kupinga uteuzi wa Dr. Bashiru Ally kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?
Mahakama ipi?
Hii inayo shindwa kumshauri Boss wao pale anapo vunja katiba??
 
Sorry mkuu hivi kipengele gani kimevunjwa?

Maana amepewa ubalozi ili awe mtumishi wa UMMA ndio akateuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi
Amesha pokea hata mshahara mmoja wa utumishi wa umma?
Acha kudandia gari kwa mbele. Hujui kaa kimya
 
Katiba haijavunjwa popote pale.

Na ningependa watu waende mahakamani.

Lakini sidhani kama kuna atayeenda maana wote wanaodai imevunjwa wanaishi kwenye Jamhuri ya Mtandaoni.
Kumbe
Screenshot_20210227-193149.png
 
Hawa wenzetu ni watu wa ajabu sana, hawana facts wao ni ushabiki wa hovyo tu

Uteuzi wa balozi Dr Bashiru Ally kuwa katibu mkuu kiongozi, uko sawa kabisa hakuna kifungu chochote cha katiba kilichovunjwa

Ndio maana mheshimiwa Rais alianza kwa kumteua kuwa balozi ( mtumishi wa umma) na hata kuapa leo alianza kuapa kwanza kuwa balozi na ndipo baadaye akaapa kuwa chief secretary( Katibu Mkuu Kiongozi)

Na hii sio mara ya kwanza kwa balozi kuteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi

Mheshimiwa Rais wa awamu ya nne, Dr Jakaya Kikwete, alimteua balozi Ombeni Sefue kuwa katibu mkuu kiongozi , akiwa balozi wa Tanzania nchini Marekani

Mheshimiwa Rais Dr John Pombe Magufuli, alimteua balozi Injinia John Kijazi kuwa katibu kiongozi, akiwa balozi wa Tanzania nchini India

Sasa iweje leo kwa balozi Dr Bashiru Ally kuteuliwa kuwa katibu kiongozi ndio iwe ajenda????
Naona umetaja mabalozi hao na nchi walizokua wanaiwakilisha tz lkn hujataja nchi alikokua anaiwakilisha tz Dk Bashiru.
 
Hawa wenzetu ni watu wa ajabu sana, hawana facts wao ni ushabiki wa hovyo tu

Uteuzi wa balozi Dr Bashiru Ally kuwa katibu mkuu kiongozi, uko sawa kabisa hakuna kifungu chochote cha katiba kilichovunjwa

Ndio maana mheshimiwa Rais alianza kwa kumteua kuwa balozi ( mtumishi wa umma) na hata kuapa leo alianza kuapa kwanza kuwa balozi na ndipo baadaye akaapa kuwa chief secretary( Katibu Mkuu Kiongozi)

Na hii sio mara ya kwanza kwa balozi kuteuliwa kuwa katibu mkuu kiongozi

Mheshimiwa Rais wa awamu ya nne, Dr Jakaya Kikwete, alimteua balozi Ombeni Sefue kuwa katibu mkuu kiongozi , akiwa balozi wa Tanzania nchini Marekani

Mheshimiwa Rais Dr John Pombe Magufuli, alimteua balozi Injinia John Kijazi kuwa katibu kiongozi, akiwa balozi wa Tanzania nchini India

Sasa iweje leo kwa balozi Dr Bashiru Ally kuteuliwa kuwa katibu kiongozi ndio iwe ajenda????

Kwa hiyo balozi bushiri naye kateuliwa kutoka inchi inayoitwa ccm? Hapa namkumbuka mtikila na lisu tu
 
Nani atachukua hatua za kwenda mahakamani kupinga uteuzi wa Bashiru kwamba umekiuka Katiba?

Kama kweli Katiba imevunjwa basi ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kutafsiri sheria za nchi hii pamoja na Katiba!!

Nani atakayethubutu kufungua Kesi kupinga uteuzi wa Dr. Bashiru Ally kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?
Sidhani kuna mtu yeyote atakwenda Mahakamani kwa sababu hata Majaji wenyewe wanateuliwa hivyohivyo kinyume na taratibu kwa hiyo Taasisi au mtu akifungua kesi kupinga uteuzi, uamuzi unajulikana utaunga mkono uteuzi. Hata bila matakwa ya Katiba busara tu inaonyesha uteuzi una kasoro kwa sababu Seniority kazini haipatikani kwa kuwa na PhD tu bali na Uzoefu katika fani au nafasi husika kwa sababu mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza, hata awe mtoto wa Mwalimu Mkuu, hawezi kuchaguliwa kuwa Kilanja Mkuu wa Sekondari. Wengi wamekuwa wakilaumu Vyama vya Upinzani au Taasisi kwa kutokwenda Mahakamani kupinga matokeo ya "Uchaguzi" uliopita lakini kwa nini kupoteza muda na raslimali huku matokeo hasi yanajulikana kabla hata ya kufika viwanja vya Mahakama? Majaji wa Awamu hii afadhali Machifu wa kabla ya Uhuru walitoa haki!
 
Nani atachukua hatua za kwenda mahakamani kupinga uteuzi wa Bashiru kwamba umekiuka Katiba?

Kama kweli Katiba imevunjwa basi ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kutafsiri sheria za nchi hii pamoja na Katiba!!

Nani atakayethubutu kufungua Kesi kupinga uteuzi wa Dr. Bashiru Ally kuwa Katibu Mkuu Kiongozi?
Je ikitengua uteuzi huo itakuwa imemsaidia nini mwananchi katika kuinua pato lake?
 
Sorry mkuu hivi kipengele gani kimevunjwa?

Maana amepewa ubalozi ili awe mtumishi wa UMMA ndio akateuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi
Ndio mwisho wako wa mwisho wa kujadili hoja? Kwahiyo akitokea kijana aliye hitimu leo chuo kikuu akapewa ubalozi basi anakuwa amekidhi vigezo vya kuwa KATIBU MKUU KIONGOZI? KATIBA ya Nchi imeelekeza nani anakuwa na sifa za kuwa KATIBU mkuu kiongozi, kwa ujumla BASHIRU HANA!!!
 
Back
Top Bottom