Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatarajiwa kufanyika mwaka 2020. Hivi karibuni Tundu Lissu amenukuliwa akisema anakusudia kuomba kupeperusha bendera ya CHADEMA. Ama huko nyuma Edward Lowassa nae alinukuliwa akisema atagombea urais kwa tiketi ya CHADEMA. Ni nani kati ya hao wawili unadhani atateuliwa kupeperusha bendera ya CDM kwenye uchaguzi huo muhimu kwa nchi yetu.