MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Dogo mmoja tangu alipozaliwa hadi umri wa miaka mitano hakuwa anaweza kusema.
Siku aliyoanza kusema, alitamka neno moja tu, "Bibi".
Siku ile ile, bibi yake akafariki. Sku ya pili akatamka "Mjomba". Mjomba naye akafiriki.
Siku ya tatu akatamka "Babu", babu akafariki punde baadaye.
Familia yote ikawa haina raha, kila mmoja akiwa na wasiwasi wa kutajwa katika orodha ya dogo. Nani atafuatia baadae, baba? mama? shangazi?.....
Siku ya nne asubuhi mapema dogo akatamka "Baba".
Duh! Baba akaingiwana simanzi. Akawaaga jamaa zake, akajilaza kitandani kusubiri saa yake, lakini muda si mrefu ikaletwa taarifa kuwa dereva wa familia amepata ajali na kufariki.
Siku aliyoanza kusema, alitamka neno moja tu, "Bibi".
Siku ile ile, bibi yake akafariki. Sku ya pili akatamka "Mjomba". Mjomba naye akafiriki.
Siku ya tatu akatamka "Babu", babu akafariki punde baadaye.
Familia yote ikawa haina raha, kila mmoja akiwa na wasiwasi wa kutajwa katika orodha ya dogo. Nani atafuatia baadae, baba? mama? shangazi?.....
Siku ya nne asubuhi mapema dogo akatamka "Baba".
Duh! Baba akaingiwana simanzi. Akawaaga jamaa zake, akajilaza kitandani kusubiri saa yake, lakini muda si mrefu ikaletwa taarifa kuwa dereva wa familia amepata ajali na kufariki.