Baada ya JK kumteua Abrahaman Kinana kuwa katibu mkuu wa tatu kwa kipindi cha miaka sita toka Kikwete awe mwenyekiti wa CCM, na baadhi ya watu kuona kuwa hata yeye Kinana hana kitu kipya cha kufanya zaidi ili kuinusuru CCM inayoelekea kaburini hivyo atatemwa tu ndani ya muda mchache.
Wachambuzi mbalimbali wameanza kudadisi kutaka kujua nani atafuata baada ya Kinana?
Wachambuzi mbalimbali wameanza kudadisi kutaka kujua nani atafuata baada ya Kinana?