comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Baada ya Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali James Mwakibolwa kustaafu utumishi wa jeshi kwa mujibu wa sheria na baada ya umri kutimia katika nafasi ya juu sana aliohudumu yaani Mnadhimu Mkuu wa jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania maarufu kama Jwtz, nani atachukua mkoba wake?,aidha, kustaafu kwa Mkuu wa jeshi la kujenga Taifa Meja jenerali Michael Isamuhyo nani ataziba nafasi hiyo?