Nani Atacheka kwa FURAHA Uchaguzi wa Igunga 2/10/2011?

Esoterica

Member
Jun 18, 2011
48
11
Wakuu Habari Zenyu Bana!!!!!!!!!!

Poleni kwa majukumu ya kuijenga Tz mpya.

Niko mbali sana na Igunga na sijui hali ya mambo kule Igunga na vitongoji vyake, mambo yanaendaje?

Mliopo Igunga au karibu na huko ninaomba mtujuze hali ya mambo kwa sasa ili tujue/tupate picha ushindi unaelekea kambi ya nani?
Je baada ya wana-CDM kupelekwa mahakamani Tbr na kurudi Igunga kwa mbwembwe, CUF kuongeza mapambano ya kulalamikia CCM na CDM, balozi mmoja kukamatwa na majina ya wapigakura na shahada zao, CCM kuwapeleka Igunga wakongwe kama Mzee Mangula, hali ya mambo ikoje?

Nani mwaona atashinda?
 
Back
Top Bottom