REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
1.Watoto wangu ninasomesha English medium nalipa ada kubwa,hii ni kwa sababu shule
za serikali ni duni'
2.Ninaishi Segerea maeneo ya Mandela,barabara ni mbovu labda kuliko zote hapa mjini,
mvua ikinyesha usiku hatuna uhakika wa kwenda kazini,ikinyesha mchana hatuna uhakika
wa kurudi majumbani.maana hata bodaboda haziwezi kwenda'
3.Maji nanua lita 3000 sh.30,000. kwa wiki,hivyo kwa mwezi natumia sh.120,000.maana hakuna maji
ya bomba wala visima.
4.Hatuna usafiri wa uhakika kwa sababu ya ubovu wa barabara ila bodaboda.
5.Mbunge wetu ni Makongoro Mahanga,tangu alivyokuja kuomba tumpe kura hatujawahi kumuona
tena mpaka leo.
Katika mazingira haya ni kweli naweza shawishika kulipa kodi kwa hiari na kupenda,nakatwa Payee
kwa sababu sina jinsi lakini sioni umuhimu wake,nalazimishwa niikopeshe serikali hela ya kununua
EFD kwenye biashara ili serikali ikusanye kodi ambayo sioni umuhimu wake.Ki ukweli naumia sana ndani
mwangu ktk mazingira haya nani ananishawishi kwamba Slogan ya "LIPA KODI KWA MAENDELEO" ni sahihi'
za serikali ni duni'
2.Ninaishi Segerea maeneo ya Mandela,barabara ni mbovu labda kuliko zote hapa mjini,
mvua ikinyesha usiku hatuna uhakika wa kwenda kazini,ikinyesha mchana hatuna uhakika
wa kurudi majumbani.maana hata bodaboda haziwezi kwenda'
3.Maji nanua lita 3000 sh.30,000. kwa wiki,hivyo kwa mwezi natumia sh.120,000.maana hakuna maji
ya bomba wala visima.
4.Hatuna usafiri wa uhakika kwa sababu ya ubovu wa barabara ila bodaboda.
5.Mbunge wetu ni Makongoro Mahanga,tangu alivyokuja kuomba tumpe kura hatujawahi kumuona
tena mpaka leo.
Katika mazingira haya ni kweli naweza shawishika kulipa kodi kwa hiari na kupenda,nakatwa Payee
kwa sababu sina jinsi lakini sioni umuhimu wake,nalazimishwa niikopeshe serikali hela ya kununua
EFD kwenye biashara ili serikali ikusanye kodi ambayo sioni umuhimu wake.Ki ukweli naumia sana ndani
mwangu ktk mazingira haya nani ananishawishi kwamba Slogan ya "LIPA KODI KWA MAENDELEO" ni sahihi'