Nani angefaa kuwa Spika baada ya marehemu SITTA?

lutemi

JF-Expert Member
Dec 24, 2013
1,743
1,379
Marehemu Samweli sitta pamoja na udhaifu wake lakini Bunge lake lilikuwa lenye nguvu kubwa sana na alikuwa anajiamini mno katika uendeshaji wa Bunge nzima.

Sasa kwasababu waliofuata wote wamepwaya katika utendaji , je ninani angefaa kukalia hiki kiti cha u speaker
Naomba utoe jina na sababu. Ahsante.
 
CCM hawaitakii mema nchi, haina thamani kwao, hawajali nani wanampa uongozi, ii mradi matumbo yao. Mungu awapinge katika maovu yao dhidi ya taifa letu!.



Mtu hawezi kufanya uongozi, nje ya jinsi alivyo, ndiyo sababu tunataka katiba iwalazimishe wale wanaojipenyeza bila sifa. Katiba mahususi itawafanya wa behave hata kama hawataki.

HII ILIYOPO HII, NDIYO YENYE HII NAMNA NA NDIYO INATUFANYA HIVI. CCM ni watu wasiokuwa na morals hata chembe!.

YANAYOTOKEA YAWE FUNDISHO KWA WENYE KUPENDA WATOTO WAO NA VIZAZI VYAO ILI TUUNGANE KINYUME CHA HILI ZIMWI CCM.
 
Marehemu Samweli sitta pamoja na udhaifu wake lakini Bunge lake lilikuwa lenye nguvu kubwa sana na alikuwa anajiamini mno katika uendeshaji wa Bunge nzima.

Sasa kwasababu waliofuata wote wamepwaya katika utendaji , je ninani angefaa kukalia hiki kiti cha u speaker
Naomba utoe jina na sababu. Ahsante.

Unataka jina ulipeleke wapi? Huna kazi ya kufanya?
 
CCM hawaitakii mema nchi, haina thamani kwao, hawajali nani wanampa uongozi, ii mradi matumbo yao. Mungu awapinge katika maovu yao dhidi ya taifa letu!.



Mtu hawezi kufanya uongozi, nje ya jinsi alivyo, ndiyo sababu tunataka katiba iwalazimishe wale wanaojipenyeza bila sifa. Katiba mahususi itawafanya wa behave hata kama hawataki.

HII ILIYOPO HII, NDIYO YENYE HII NAMNA NA NDIYO INATUFANYA HIVI. CCM ni watu wasiokuwa na morals hata chembe!.

YANAYOTOKEA YAWE FUNDISHO KWA WENYE KUPENDA WATOTO WAO NA VIZAZI VYAO ILI TUUNGANE KINYUME CHA HILI ZIMWI CCM.

Zungu
 
Baada ya kumsikia HALIMA MDEE anasema Ndugai alipaswa kuvaa viatu vya SITTA NA MAKINDA.




Naona Ndugai bado ANAFAA.
 
kama spika anampiga mwenzake kisa kurekodiwa au kupigwa picha..... hayo ni mapungufu yaliyo tukuka...

najiuliza ile kesi ya spika kutaka kuua imeeishia wapi...
 
Marehemu Samweli sitta pamoja na udhaifu wake lakini Bunge lake lilikuwa lenye nguvu kubwa sana na alikuwa anajiamini mno katika uendeshaji wa Bunge nzima.

Sasa kwasababu waliofuata wote wamepwaya katika utendaji , je ninani angefaa kukalia hiki kiti cha u speaker
Naomba utoe jina na sababu. Ahsante.
sio mwingine ni ndugu john andrea chenge , mseminari mzoefu, wakili msomi, mcheshi , mwenye maono na asiyetishwa na lolote
 
Marehemu Samweli sitta pamoja na udhaifu wake lakini Bunge lake lilikuwa lenye nguvu kubwa sana na alikuwa anajiamini mno katika uendeshaji wa Bunge nzima.

Sasa kwasababu waliofuata wote wamepwaya katika utendaji , je ninani angefaa kukalia hiki kiti cha u speaker
Naomba utoe jina na sababu. Ahsante.
Kwani si walisema ndugai anafaa kuliongoza bunge vipi tena upepo umebadilika?
 
Kwanini mnaona Zungu anafaa au Andrew Chenge? Je udhaifu wao ni upi na uimara wao kihoja ni upi? Je wanao ukomavu wa kifikra?
 
Yeyote angefaa kuwa spika ila uvumilivu umakini na kutokuonyesha upendeleo wa aina yoyote kungeleta heshima ktk bunge hili.Kinachoonekana sasa hivi sio kabisa.
 
Kama huyu kifimbo alishindwa kuvumilia wananchi wake ndani ya jimbo lake,atawezaje kuwamudu wapinzani? Na ili mjue kuwa ccm kwao sheria hazifanyi kazi hyo jamaa pamoja na kupigana hivyoo hakuchukuliwa hatua yyte
 
Na hili Ndugai alilowaambia askari wa bunge juzi kwamba akitoa amri mtu atolewe bungeni akibisha tu apigwe na hao askari limekaaje kisheria?
 
Marehemu Samweli sitta pamoja na udhaifu wake lakini Bunge lake lilikuwa lenye nguvu kubwa sana na alikuwa anajiamini mno katika uendeshaji wa Bunge nzima.

Sasa kwasababu waliofuata wote wamepwaya katika utendaji , je ninani angefaa kukalia hiki kiti cha u speaker
Naomba utoe jina na sababu. Ahsante.
Wangempa Ally kessy tuuu akate mizizi ya fitna
 
angepewa Chenge mambo yangeenda sawia kabisa, kidogo ishu ya double standards ingeisha, maana huyu wa sasa amelifanya kama bunge la sisiem, anaushabiki wa nje nje kabisa yaani kama unahasira unaweza ng'oa Mic ukampiga nayo
 
Back
Top Bottom