WASHE
JF-Expert Member
- Jan 9, 2017
- 746
- 394
Nashangazwa Sana na watanzania waliokana urai wa Tanzania na kuwa raia wa nchi flani. Halafu ndiyo wamekuwa mstari wa mbele kutukana viongozi wetu. Hawa watu wako marekani nani anayewatuma? Kama kweli wanania nzuri kwanini watukane wakiwa wamejificha ng'ambo? This is not fair