Kwani
JF-Expert Member
- Jan 12, 2016
- 455
- 562
kila uchwao nasikia maandamano ya kumpongeza raisi hasa watu ya mikoa ya kanda ya ziwa(Mwanza,Shinyanga,Simiyu na Geita) haya mambo mbona hayakwepo kipindi cha nyuma.?
Hawa wazee awamu hii ndo wameona inafaa kufanya huu uchafu tena bila aibu hadi watoto nao wanaandamana hivi kweli watoto wanapata uthubutu wa kuandamana?
Ebu anaofanya huu ujinga wa kutuma watu kuandamana kupongeza vitu wasivyovijua kama ni DAB acha mara moja acheni watoto wasome.
Hivi kweli mtoto mdogo anaelewa wapi habari za makinikia mpaka wafikie hata zakupongeza swala hili?
Wazee wasiojua hata kuongea vizuri tena wa Busega-Simiyu wanajuaje habari za "BRN" hadi wabebe mabango yaliyoandikwa"BASHITE REBUILD OUR NATION (BRN)?
Hivi wengine wakijitokeza kuandamana kumpongeza TUNDU LISU mtawakataza?
Hebu tugawane huu uhuru aliyeutafuta yuko mbele za haki kwanini sisi tuliobaki tunajifanya nchi ni ya changu changu tu utawala wako,nchi yako,na uhuru ni wako pia?
Hawa wazee awamu hii ndo wameona inafaa kufanya huu uchafu tena bila aibu hadi watoto nao wanaandamana hivi kweli watoto wanapata uthubutu wa kuandamana?
Ebu anaofanya huu ujinga wa kutuma watu kuandamana kupongeza vitu wasivyovijua kama ni DAB acha mara moja acheni watoto wasome.
Hivi kweli mtoto mdogo anaelewa wapi habari za makinikia mpaka wafikie hata zakupongeza swala hili?
Wazee wasiojua hata kuongea vizuri tena wa Busega-Simiyu wanajuaje habari za "BRN" hadi wabebe mabango yaliyoandikwa"BASHITE REBUILD OUR NATION (BRN)?
Hivi wengine wakijitokeza kuandamana kumpongeza TUNDU LISU mtawakataza?
Hebu tugawane huu uhuru aliyeutafuta yuko mbele za haki kwanini sisi tuliobaki tunajifanya nchi ni ya changu changu tu utawala wako,nchi yako,na uhuru ni wako pia?