Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,126
- 39,320
dunderhead
Dadako huyo nyote mnatoka ukoo mmoja wa Chato.
dunderhead
CCM ndio msimamizi mkuuMaono yangu yanaonesha kuwa Huduma za afya zinaelekea kuwa biashara na sio huduma.
Nani anayesimamia mabadiliko haya ili yasituathiri miaka michache ijayo?
Sijasema tuwazuie wafanyabiashara kufanya biashara hii lakini ni nani anayehakikisha hatuingii kwenye majanga biashara hii ya tiba kama ilivyo USA?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Unapewa jibu alafu hulitaki.Hilo ndio Jibu sahihi maana hakuna mwingine mwenye dhamana yakuongoza hii nchi tofauti na ccm iliyounda serikali toka uhuru.Meza ata kama chungu.Acha utani kwenye thread hii
Ndiye Musiba wa awamu ya sitakwa nini umesema hivi?
Hatuna namna kwakuwa sekta ya afya ni mojawapo ya biashara kubwa za dunia inayolipa sana na yenye faida nono maradufuMaono yangu yanaonesha kuwa Huduma za afya zinaelekea kuwa biashara na sio huduma.
Nani anayesimamia mabadiliko haya ili yasituathiri miaka michache ijayo?
Sijasema tuwazuie wafanyabiashara kufanya biashara hii lakini ni nani anayehakikisha hatuingii kwenye majanga biashara hii ya tiba kama ilivyo USA?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nani wa kudhibiti ili isigeuke kuwa maumivu kwa jamii?Hatuna namna kwakuwa sekta ya afya ni mojawapo ya biashara kubwa za dunia inayolipa sana na yenye faida nono maradufu
Tukitaka kufanikiwa labda tujikatae na dunia na kuwa na mfumo wetu binafsi wa afya ambao utawasaidia ruzuku watoa huduma wetu
Utashi wa mamlaka husika kupitia serikali kuuNani wa kudhibiti ili isigeuke kuwa maumivu kwa jamii?
Hitaji halijengwi ...hitaji linatokea kwenye jamii kwa nyakati zakeNani wa kujenga hitaji?
Politics is a science it can overcome all issues.do you think every problem is solved politically?
Basi mnaweza kutumia mbomu ya polisi kuvilipua vyote vinavyolipisha bei juu.do you think every problem is solved politically?