Nani anayesikiliza clouds Njia panda ya leo?

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,328
67,755
E bwana hii story ya sarah imenistua sana,kwa aliyefatilia vizuri ebu tujuzeni nimeikuta katikati.
 
mkuu wanawake pasua kichwa...demu anawaruka wakware wake hivi hivi
 
Wanaume watatu wote wameambiwa mimba aliyonayo Sara ni yao na wanaamini hivyo baadae kawageuka wawili na kumnga'ng'ania mmoja ambae ametoa mahali nadhani na gharama za kutosha :hii ndio dunia zaidi ya uijuavyo

Da Thanks kwa info basi huyo sarah ni mtu wa hatari sana na inaonekana ameenda shule maana nimemsikia anasema amemaliza UDSM,sasa huyo ndio msomi je hawa wenzangu na mimi shule hamna inakuwaje?
 
Da Thanks kwa info basi huyo sarah ni mtu wa hatari sana na inaonekana ameenda shule maana nimemsikia anasema amemaliza UDSM,sasa huyo ndio msomi je hawa wenzangu na mimi shule hamna inakuwaje?

bora ukutane na mtu asiyekuwa na elimu kuliko aliye na elimu maana wenye elimu hawaishi viloja...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom