Common man
Member
- Mar 10, 2011
- 15
- 0
Hivi karibuni rais ameteua wakuu wa mikoa. Wengi wa walioteuliwa ni wale waliokuwa wabunge na kushindwa kuhifadhi viti vyao bungeni. Ndipo nilipopata swali kati ya rais na wananchi nani anamjua kiongozi anayefaa? Lingine ambalo linafanana na hili ni mtu ameshindwa kuchaguliwa na watu wa jimbo lake lakini raisi amemteua kuongoza watu kwenye mkoa wenye watu wengi zaidi ya wale waliomkataa.Hii inakuwa vipi?