TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,731
- 21,132
Hili wazo lako linataka mtu mwenye maamuzi magumu na awe anapenda hayo madude, vinginevyo Watanzania watakuchamba sana....
Tena unapaswa yajengwe mengi zaidi ijengwe freeways kutoka town inashukia tegeta yani ukilipia road toll unakanyaga speed inashukia Morocco then mwenge then tegeta hapo tinakuwa tumepunguza muda wa kulwenda na kutoka mjini.