Wana Jf.Naomba kuleta swali la kutaka ufahamu tu. Hivi najiuliza ni nani anayeghalamia mikutano ya Zitto kabwe inayoendelea. Je ni yeye mwenyewe au chama. Lakini najua pia kuna ziara ya kkatibu mkuu Jembe Slaa naye yuko kwenye ziara.nahisi hii ya Slaa inagharamiwa na chama lakini kama na yakabwe inaghakamiwa na chama kwa nini wasiungane pamoja kwenye safari moja?najua pia kabwe yuko kwenye mgogoro na uongozi wa chama chake.amepata wapi kibali cha kuendesha mikutano?je chama kimeridhia?je anaosema kwenye mikutano hiyo ni kauli za chama au za kwake? Tunatofautishaje kauli zake binafsi na zile za chama?