Nani anayefundishwa uongozi na Humphrey Polepole?

Mimi sijaona chuki ya Ole Mushi dhidi ya Polepole...

Mimi sijaona akimhukumu Polepole (he's not judgemental) Mwanga Mkali

Kwa msomaji makini wa hoja ya Ole Mushi, atagundua kuwa andiko lake lote limlenga kumpa changamoto ya kuboresha zaidi shule yake ya uongozi..

Ndiyo maana katumia reference ya China na Prof. Zhang WeiWei namna wanavyopata viongozi wao...

Ole Thadei Mushi, amesema hili akitambua kuwa Humphrey Polepole ni mwana CCM aliyewahi kushika nafasi nyeti chamani na bado anazo zingine na pia ni mbunge na kwa hiyo anaweza kulichukua wazo hili na kulipeleka kwa wenzake...

Mimi sijaona kosa la Mwandishi hata astahili kushambuliwa kwa kiasi hiki...

Kwenye hii jamii yetu ya sasa, nani anayetaka muundo wa kusoma ili wale wenye kustahili ndio wawe viongozi?
Hata kama ukiwekwa watu watavujisha mitihani.
 
Na Thadei Ole Mushi.

Mwenezi wetu wa Chama Mstaafu ameanzisha kipindi chake Cha kufundisha watu uongozi. Kwanza sijajua ANAYEFUNDISHWA hapa ni yupi ni wale waliopo kwenye Madaraka tayari au ni sisi ambao hatuna hayo Madaraka. Naangalia Kazi kubwa ya Polepole anayoifanya Kwa jamii Kwa Sasa ni hii ya kufundisha uongozi. Kuna mambo mawili nayaona kwake.

1. Haamini waliopo madarakani kama wanaifahamu mkubwa kuhusu masuala ya uongozi au

2. Hajui Majukumu ya Mbunge au Hana Kazi za kufanya kama Mbunge za kuwasemea wananchi...... Labda Kwa sababu ni nafasi ya viti maalumu vya Rais Hana Jimbo hivyo ameona wenzeke Wana upungufu kwenye eneo Hilo la uongozi ameamua kuwapa SoMo.

Uongozi haufudishwi Kwa nadharia za Polepole twende kwenye reference ya nchi iliyofanikiwa na Rafiki yetu mkubwa CHINA.

Zhang Weiwei ni Director Katika chuo kikuu cha Fudah University China aliwahi kuelezea ni kwa namna gani china inapata viongozi wake wa kisiasa.

Weiwe anasema viongozi wote wa China lazma wapitie mchakato unaojulikana kama Selection plus Election. Yaani kabla ya kuwa kiongozi china lazma mchakato wa kuwachuja ufanyike kwa kuangalia ulishawahi kufanya nini kabla.

Maeneo muhimu wanayoangalia ni uwezo wako wa kupambana na Umaskini, uwezo wako wa kutengeneza Ajira, uwezo wako wa kuyatunza Mazingira na uwezo wako katika local economic Growth.

Wanawapima toka wakiwa huku chini yaani ngazi za chini kwenye Clip hii anadai viongozi Sita kati ya saba ambao ni Top kabisa katika serikali yao wamepitia mchakato huo na wamepimwa toka wakiwa katika ngazi za Chini za Kiuongozi.

Wao wachina wanacriticize mfumo wa Westerns ambao mtu anatokea from nowhere anakuwa kiongozi. Hapa anatoa mfano kuwa Kama Trump na Bush wangepitia mfumo wa selection na election kamwe wasingelikuwa Viongozi kwa kuwa mfumo huo ungewatema na wasingelifikia kuwa Viongozi.

Suala la kuandaa Viongozi China huchukuwa muda Kuna hatua tano ambazo utapitia katika kipindi fulani Cha muda ukifanyiwa assessment hatua ya kwanza huitwa analysis and proposal, hatua ya Pili huitwa democratic recommendation, hatua ya tatu huitwa appraisal, hatua ya nne huitwa discussion and decision na hatua ya Mwisho ni appointment. Katika hili wachina wao hutumia msemo wao maarufu kuwa "It takes seven years to see if a tree can grow into suitable building materials." Kwa maana ya kuwa huchukua miaka Sana kugundua Kama mti flani unaweza kutumika kwenye ujenzi.

Pamoja na hayo kila mtumishi pale China ambaye ni mtumishi wa umma haingilii dirishani tu Kama hapa kwetu wanavyofanya bali lazima ufanye mtihani wa utumishi wa Umma unaojulikana Kama "KEJU".

Keju ni mtihani ambao kimuondo huwa na maswali 135 multiple choice na maswali Mengine ya kujieleza. Mtihani huo hujumuisha hesabu, Lugha, world affairs na Logic, uwezo wa kusoma, psychological potentials, uwezo wa kutatua matatizo nk. Hapa hata Viongozi wa Umma lazima wafanye mtihani huu, huwezi kuwa kiongozi Kama cv yako haionyeshi kuwa uliwahi kufanya KEJU na ukafaulu.

Mimi nadhani Polepole atusaidie pale kwenye Chuo chetu Cha Siasa Kigamboni. Huku kwenye Ubunge tuwaachie watu wanaotafuta suluhu ya shida za wananchi na wanaoongelea sera na Mipango ya nchi na namna ya kumkwamua Mnyonge.

Ni ukweli ulio dhahiri Polepole haamini aliopo nao kwenye Uongozi kama Wana Uwezo. Huyu ana hangover za Serikali ya Awamu ya Tano.


Ole Mushi.
0712702602

View attachment 1931835

Yeye ni kiongozi wa nani? Maana hata uchaguzi waliiba sasa anafundisha kwa kusoma vitabu vya kikomunisti 😂😂
 
Na Thadei Ole Mushi.

Mwenezi wetu wa Chama Mstaafu ameanzisha kipindi chake Cha kufundisha watu uongozi. Kwanza sijajua ANAYEFUNDISHWA hapa ni yupi ni wale waliopo kwenye Madaraka tayari au ni sisi ambao hatuna hayo Madaraka. Naangalia Kazi kubwa ya Polepole anayoifanya Kwa jamii Kwa Sasa ni hii ya kufundisha uongozi. Kuna mambo mawili nayaona kwake.

1. Haamini waliopo madarakani kama wanaifahamu mkubwa kuhusu masuala ya uongozi au

2. Hajui Majukumu ya Mbunge au Hana Kazi za kufanya kama Mbunge za kuwasemea wananchi...... Labda Kwa sababu ni nafasi ya viti maalumu vya Rais Hana Jimbo hivyo ameona wenzeke Wana upungufu kwenye eneo Hilo la uongozi ameamua kuwapa SoMo.

Uongozi haufudishwi Kwa nadharia za Polepole twende kwenye reference ya nchi iliyofanikiwa na Rafiki yetu mkubwa CHINA.

Zhang Weiwei ni Director Katika chuo kikuu cha Fudah University China aliwahi kuelezea ni kwa namna gani china inapata viongozi wake wa kisiasa.

Weiwe anasema viongozi wote wa China lazma wapitie mchakato unaojulikana kama Selection plus Election. Yaani kabla ya kuwa kiongozi china lazma mchakato wa kuwachuja ufanyike kwa kuangalia ulishawahi kufanya nini kabla.

Maeneo muhimu wanayoangalia ni uwezo wako wa kupambana na Umaskini, uwezo wako wa kutengeneza Ajira, uwezo wako wa kuyatunza Mazingira na uwezo wako katika local economic Growth.

Wanawapima toka wakiwa huku chini yaani ngazi za chini kwenye Clip hii anadai viongozi Sita kati ya saba ambao ni Top kabisa katika serikali yao wamepitia mchakato huo na wamepimwa toka wakiwa katika ngazi za Chini za Kiuongozi.

Wao wachina wanacriticize mfumo wa Westerns ambao mtu anatokea from nowhere anakuwa kiongozi. Hapa anatoa mfano kuwa Kama Trump na Bush wangepitia mfumo wa selection na election kamwe wasingelikuwa Viongozi kwa kuwa mfumo huo ungewatema na wasingelifikia kuwa Viongozi.

Suala la kuandaa Viongozi China huchukuwa muda Kuna hatua tano ambazo utapitia katika kipindi fulani Cha muda ukifanyiwa assessment hatua ya kwanza huitwa analysis and proposal, hatua ya Pili huitwa democratic recommendation, hatua ya tatu huitwa appraisal, hatua ya nne huitwa discussion and decision na hatua ya Mwisho ni appointment. Katika hili wachina wao hutumia msemo wao maarufu kuwa "It takes seven years to see if a tree can grow into suitable building materials." Kwa maana ya kuwa huchukua miaka Sana kugundua Kama mti flani unaweza kutumika kwenye ujenzi.

Pamoja na hayo kila mtumishi pale China ambaye ni mtumishi wa umma haingilii dirishani tu Kama hapa kwetu wanavyofanya bali lazima ufanye mtihani wa utumishi wa Umma unaojulikana Kama "KEJU".

Keju ni mtihani ambao kimuondo huwa na maswali 135 multiple choice na maswali Mengine ya kujieleza. Mtihani huo hujumuisha hesabu, Lugha, world affairs na Logic, uwezo wa kusoma, psychological potentials, uwezo wa kutatua matatizo nk. Hapa hata Viongozi wa Umma lazima wafanye mtihani huu, huwezi kuwa kiongozi Kama cv yako haionyeshi kuwa uliwahi kufanya KEJU na ukafaulu.

Mimi nadhani Polepole atusaidie pale kwenye Chuo chetu Cha Siasa Kigamboni. Huku kwenye Ubunge tuwaachie watu wanaotafuta suluhu ya shida za wananchi na wanaoongelea sera na Mipango ya nchi na namna ya kumkwamua Mnyonge.

Ni ukweli ulio dhahiri Polepole haamini aliopo nao kwenye Uongozi kama Wana Uwezo. Huyu ana hangover za Serikali ya Awamu ya Tano.


Ole Mushi.
0712702602

View attachment 1931835
Acha wivu wa kike
 
Back
Top Bottom